Mama mchungaji ananitega

sio kwa vile nimetoswa na wanakwaya,ila mama pastor ananiweka kwenye mazingira magumu
Mazingira hayo magumu ni yapi?

Kuwa a bit more specific kama unataka msaada wa maoni?

Ni uvaaji huko kanisani ama anakukonyeza kama Rose1980?Lol!

More details please.
 
Mazingira hayo magumu ni yapi?

Kuwa a bit more specific kama unataka msaada wa maoni?

Ni uvaaji huko kanisani ama anakukonyeza kama Rose1980?Lol!

More details please.
ana kauli tamu,mikonyezo kama ya Rose1980 na kuvibrate hips makusudi
 
ila ujue ye anataka na mi nimehamasika,ila kuna karoho kananikataza

duh! kweli kisicho riziki hakiliki, yule binti aliyekuzimika humu umeshamtimizia haja yake ya moyo?
Au ndo umeleta hii sredi ili ajue kuna foleni aongeze bidii? Ngoja nimwite aje huku
 
duh! kweli kisicho riziki hakiliki, yule binti aliyekuzimika humu umeshamtimizia haja yake ya moyo?
Au ndo umeleta hii sredi ili ajue kuna foleni aongeze bidii? Ngoja nimwite aje huku
chunia bhana patavurugika bure au unataka mpaka nikuhonge pipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom