Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hakika huyu mama ndiye mzalendo wa kweli hapa nchini.
Ingekuwa hawa wengine ndiyo angemwaga mabilioni kama zawadi maana anajichotea.
Mama Maria Nyerere leo amewakabidhi wapanda baiskeli wanao jiandaa kuendesha baiskeli kutoka dsm hadi Butiama.
Hiyo ni ktk kusherehekea miaka 22 ya kifo cha baba wa taifa na mzalendo wa kweli wa nchi hii.
Hao wengine walikuwa wanaigiza uzalendo wakati hawana hata asili ya uzalendo.
Ingekuwa hawa wengine ndiyo angemwaga mabilioni kama zawadi maana anajichotea.
Mama Maria Nyerere leo amewakabidhi wapanda baiskeli wanao jiandaa kuendesha baiskeli kutoka dsm hadi Butiama.
Hiyo ni ktk kusherehekea miaka 22 ya kifo cha baba wa taifa na mzalendo wa kweli wa nchi hii.
Hao wengine walikuwa wanaigiza uzalendo wakati hawana hata asili ya uzalendo.