Mama Maria Nyerere ampa siri nzito Dr Slaa, angalia hapa!

mpk

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
3,115
3,862


Baada ya mama watu kulionya taifa hili kwamba litaanguka kutokana na rushwa, watu kung'ang'ania madaraka na kutojali maoni ya wananchi. Lakini pia Mama huyu alisema anazuiwa kusema na kusoma magazeti anayotaka mpaka anawatuma wajukuu zake kumnunulia magazeti yanayosema ukweli. Mama huyu amempa siri nzito Dr Slaa ambayo mipango ya chama ni kuitoa hadharani muda ukifika

Source: Mi mwenyewe ktk msafara na sasa tunaingia Kagera.
 
Ccm daima....hongera mama wa taifa..slaa amepata ujumbe wako
 
Monday, February 28, 2011

WABUNGE WA CHADEMA WATEMBELEA KABURI LA BABA WA TAIFA





Mbunge Wa Jimbo La Kawe Kupitia Chadema Mh Halima Mdee Akiweka Shada la Maua Juu ya Kaburi La Baba wa taifa Musoma Walipokwenda Kutembelea Familia Ya Mwalimu Nyerere Pamoja Na Mama Maria Nyerere.

Katibu Mkuu Wa Chadema Mh Dkt Wilbroad Slaa Akiteta Jambo na Mama Maria Nyerer




mkuu hizi picha mbona ziliripotiwa mitandaoni 28/2/2011 au umeamka na viroba kichwani? mods naomba wa-jin-ga kama hawa ili kulinda hadhi ya jukwaa delete.
 
Ni wazee wachache tu ambao bado wana imani na serikali ya ccm wengi wao akiwemo huyu mama hawana shida tena na serikali hii dhalimu isiowajali hata kimatibabu haswa huku kwetu vijijini
 
Ni mama maria huyo huyo ambaye mumewe mlimtukana kwa kumwita muongo,muuaji na aliyezoea vya kunyonga ?

Mlivyo na hasira wakati Mama kamukaribisha kwa heshima Dr Slaa ya moyoni maana anajua huyu ndo mzalendo namba moja nchini!
 
Ccm daima....hongera mama wa taifa..slaa amepata ujumbe wako

Hivi ifwero mbona unajitoa ufahamu ktk maswala mazito ndugu yangu, we unamuona mama hapo anatoa siri za chama chenu halafu badala ya kustuka unatia mbwembwe za maneno, ccm ndo inakufa hivyoo
 

Hivi kasahau Nyerere aling'ang'ania miaka 24?

Hivi kasahau Nyerere hajawahi kabisa kuwapa wananchi kutoa maoni kabla ya kufanya katiba zake Ikulu?

Hivi kasahau kuwa Nyerere alikuwa haambiliki?

Kama kasahau yote hayo, itakuwa matatizo ya umri au kale kaugonjwa kaukoo kaasili au mnatia nyinyi maneno kinywani mwake.
 
Soma ujumbe ndg, unalalamikia picha kwani Dr Slaa hakuwa Butiama jana?
 

fuatilia kwa umakini haya ni maigizo ya gongo=bavicha picha za uongo tu.
[h=2]Monday, February 28, 201[/h][h=3]WABUNGE WA CHADEMA WATEMBELEA KABURI LA BABA WA TAIFA[/h]



Mbunge Wa Jimbo La Kawe Kupitia Chadema Mh Halima Mdee Akiweka Shada la Maua Juu ya Kaburi La Baba wa taifa Musoma Walipokwenda Kutembelea Familia Ya Mwalimu Nyerere Pamoja Na Mama Maria Nyerere.




Katibu Mkuu Wa Chadema Mh Dkt Wilbroad Slaa Akiteta Jambo na Mama Maria Nyerer

m





 
Soma ujumbe ndg, unalalamikia picha kwani Dr Slaa hakuwa Butiama jana?

picha za jana ziko wapi hizi ni za mwaka 2011
[h=2]Monday, February 28, 2011[/h][h=3]WABUNGE WA CHADEMA WATEMBELEA KABURI LA BABA WA TAIFA[/h]



Mbunge Wa Jimbo La Kawe Kupitia Chadema Mh Halima Mdee Akiweka Shada la Maua Juu ya Kaburi La Baba wa taifa Musoma Walipokwenda Kutembelea Familia Ya Mwalimu Nyerere Pamoja Na Mama Maria Nyerere.

Katibu Mkuu Wa Chadema Mh Dkt Wilbroad Slaa Akiteta Jambo na Mama Maria Nyerer



 

Nadhani una matatizo, Dr Slaa juzi alikuwa Bunda jana alitembelea familia ya Mwl Butiama na alikutana na Mama Maria.
 
Tuache unafiki , mama huyu anajua unafiki wenu , anajua kabisa mlivyomtukana mume wake marehemu sasa subirini laana . Hamuwezi kuifuta laana hii kwa kujipendekeza mkadhani hajui.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…