Ameharibu na kijani tu
Mama wa watu inawezekana hata nguo analetewa subiri tu siri iwekwe hadaharani!
Ni mama maria huyo huyo ambaye mumewe mlimtukana kwa kumwita muongo,muuaji na aliyezoea vya kunyonga ?
Ccm daima....hongera mama wa taifa..slaa amepata ujumbe wako
Baada ya mama watu kulionya taifa hili kwamba litaanguka kutokana na rushwa, watu kung'ang'ania madaraka na kutojali maoni ya wananchi. Lakini pia Mama huyu alisema anazuiwa kusema na kusoma magazeti anayotaka mpaka anawatuma wajukuu zake kumnunulia magazeti yanayosema ukweli. Mama huyu amamepa siri nzito Dr Slaa ambayo mipango ya chama ni kuitoa hadharani muda ukifika
Hivi kasahau Nyerere aling'ang'ania miaka 24?
Hivi kasahau Nyerere hajawahi kabisa kuwapa wananchi kutoa maoni kabla ya kufanya katiba zake Ikulu?
Hivi kasahau kuwa Nyerere alikuwa haambiliki?
Kama kasahau yote hayo, itakuwa matatizo ya umri au kale kaugonjwa kaukoo kaasili au mnatia nyinyi maneno kinywani mwake.
Soma ujumbe ndg, unalalamikia picha kwani Dr Slaa hakuwa Butiama jana?
picha za jana ziko wapi hizi ni za mwaka 2011
Monday, February 28, 2011
WABUNGE WA CHADEMA WATEMBELEA KABURI LA BABA WA TAIFA
Mbunge Wa Jimbo La Kawe Kupitia Chadema Mh Halima Mdee Akiweka Shada la Maua Juu ya Kaburi La Baba wa taifa Musoma Walipokwenda Kutembelea Familia Ya Mwalimu Nyerere Pamoja Na Mama Maria Nyerere.
Katibu Mkuu Wa Chadema Mh Dkt Wilbroad Slaa Akiteta Jambo na Mama Maria Nyerer