Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Apewa airtime ya dakika 5 TBC1.
Wenye akili zetu tunajua tu kama Mzee Mzima keshaanza kampeni za Baba na Mama mapemaaaa. Maana siku hizi nasikia Urais ni suala la kifamilia....si suala la Watanzania tena kama tulivozoea.
Wenye akili zetu tunajua tu kama Mzee Mzima keshaanza kampeni za Baba na Mama mapemaaaa. Maana siku hizi nasikia Urais ni suala la kifamilia....si suala la Watanzania tena kama tulivozoea.