Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,219
- 79,506
We patachimbika hapo pamoja na kuisaidia Chadema na Moshi kiujumla! Huyo Mengi atabwagwa maana watu wa Moshi Mjini hawanunuliki kwa hela wamepinda! Muende muone msimamo wao haswa wa Moshi Mjini na hivi ndivyo kila mahali Tanzania kunatakiwa kuwa hivi Tarimerisation iwe kila mahali achukue time zake huyo Mengi, haka kazee kanafiki!