Mtu wa Kwao
JF-Expert Member
- Jan 15, 2008
- 258
- 21
Mama Kilango angetaka kujua ya moshi angefanya mazungumzo kwanza na mama Minde amjulishe watu wa moshi ni wa aina gani.Maana wakati Minde anagombea wamama walikunywa bia zake ,wakachukua hela zake,na pilau kwa sana na siku moja kabla ya uchaguzi walimwambia Minde kule kwenye chumba kila mtu anaingia mwenyewe.kwa maaana nyingine moshi walishakataa kudanganyika.