Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Yanga amwemweleza Rais Kagame wa Rwanda kuwa mumewe alimwambia kuwa chimbuko lake na asili ya alikotokea ni nchi hiyo, Kagame alimjibu kwamba alishasema kuwa sisi majirani ni wamoja na ukifuatilia utakuta una ndugu Uganda, Rwanda ...............
Sometimes mtu anapokosa story ambayo itamfurahisha mwenyeji wake basi hujikuta anaropoka lolote.
Si ajabua angeenda China angesema mumewe chimbuko lake ni China.
Sometimes mtu anapokosa story ambayo itamfurahisha mwenyeji wake basi hujikuta anaropoka lolote.
Si ajabua angeenda China angesema mumewe chimbuko lake ni China.
Sometimes mtu anapokosa story ambayo itamfurahisha mwenyeji wake basi hujikuta anaropoka lolote.
Si ajabua angeenda China angesema mumewe chimbuko lake ni China.
Sometimes mtu anapokosa story ambayo itamfurahisha mwenyeji wake basi hujikuta anaropoka lolote.
Si ajabua angeenda China angesema mumewe chimbuko lake ni China.
naamini hakutakiwa kusema maneno hayo maana si mahala pake, hata hivyo ukimchukua karume, joseph kabila na yoweri ,useveni na kuangalia wajihi wao, utashangaa wanavyolandana kwa wajihi wao, labda kweli wana chanzo kimoja