Duh,besti inaelekea wewe ni mlaji na mzoefu mkubwa wa nyama ya kuku.Mi nlikua sijui kama kuku ana sehemu zote hizo.Anyway, cha msingi ni kua huyo mama yake jamaa hapo nyumbani ndo kafika au anapita tu?Pia inaelekea jamaa ye kila akiambiwa anatabasamu tu na kuchukulia 'simple' tu.Angekua siriaz yasingefika hapobaba anakula paja na maini, na still nilikuwa nimenona, kitoto nilikuwa chinenee, ukitoa mapaja, kuna filigisi, kipapatio, kichwa,shingo,mbavu,kikalio,utumbo. na kote huko unapata virutubisho.
Mimi naona ingekuwa vizuri kama ungeanza wewe kuwa orphan halaf ndo umtafute mwenzio asiye na wazazi pia! Imekaa vizuri eeeh?Hao mama mkwe visa vyao vimezidi. Khaa!Tutatafuta wachumba wenye single parent au orphan kabisa.
Hao mama mkwe visa vyao vimezidi. Khaa!
Tutatafuta wachumba wenye single parent au orphan kabisa.
ahsante sana. Dua zako ziwe za heri. Ila maisha yenyewe yalivyo mafupi hadi aje aoe si nitakuwa nachekea kuzimu.Nakuombea upate mtoto wa kiume na uje kuwa mama mkwe. Then utajua sababu
mimi tayari. Kama na wewe tayari utanifaa sana tuuuuu.Mimi naona ingekuwa vizuri kama ungeanza wewe kuwa orphan halaf ndo umtafute mwenzio asiye na wazazi pia! Imekaa vizuri eeeh?
Kuna jamaa alitusimulia yaliyotokea nyumbani kwake
Jamaa akirudi toka mihangaikoni lazima mkewe ampakulie chakula........ikawa hivi;
Day 1:Kamkuta mke chumbani.........mama mkwe sebuleni..........si kawaida yake............alipomuuliza akasema "najisikia tu vibaya leo"
Day 2:Kama jana yake............alipouliza sababu.........jibu..."Bado najikia vibaya".......mume akaanza kuhisi jambo.....
Day 3:Same situation.......alipouliza......mke akamwambia "mama yako anasema mimi nakupunja chakula"...mi sitaki kuwagombanisha.
Wakatoka chumbani wameongozana na mkewe.......kufika dining....akakuta mama yake anampakulia chakula...........akajaza mlima huo!..........huku akisindikiza na maneno....."naona kila siku hushibi........mi najua ulaji wako mwanangu.........huyu mwenzio atajulia wapi wakati kakukuta ukubwani?"..................
Jibu la mwanaume:Asante mama ila siku hizi siwezi kula kama zamani........nimebadilika..................muulize mke wangu ndio anajua kiasi kinachonitosha!...............huku akikipunguza kile chakula.
Busara ni muhimu sana katika kusolve issue za namna hii!