Mama John Pombe azungumza na wanawake wa Chato

Mama John Pombe azungumza na wanawake wa Chato

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
Mama Pombe Magufuli katika ziara zake za kuongeza ushindi ushindi kwa Mh Magufuli, amewahakikishia wanawake Chato kuwa serikali ijayo itahakikisha inaboresha miundo mbinu ya afya, hivyo akina mama wazawajito, wazee na watoto watapata huduma stahiki kwa wakati suala litakalopunguza vifo visivyokuwa vya lazima.

Aidha mama kasisitiza pia wanawake watapewa kipaumbele zaidi katika kupata mikopo yenye riba nafuu, pia vikundi mbalimabi vya kina mama vitawezeshwa katika kuhakikisha mwanamke amekuwa mstari wa mbele katika kuleta maendeleo ya familia.

HONGERA SANA MAMA YETU, WATANZANIA WANAKUTAKIA KILA LAKHERI KATIKA SHUGHULI ZA UJENZI WA TAIFA.

MAGUFULI NI KAZI TU.
 
Mama Pombe Magufuli ktk ziara zake za kuongeza ushindi ushindi kwa Mh Magufuli, amewahakikishia wanawake Chato kuwa serikali ijayo itahakikisha inaboresha miundo mbinu ua afya, hivo akina mama wazawajito, wazee na watoto watapata huduma stahiki kwawakati swala litakalopunguza vifo visivyokuwa vya lazima.
Aidha mama kasisitiza pia wanawake watapewa kipaumbele zaidi katika kupata mikopo yenye riba nafuu, pia vikundi mbalimabi vya kina mama vitawezeshwa ktk kuhakikisha mwanamke amekuwa mstari wa mbele ktk kuleta maendeleo ya familia.

HONGERA SANA MAMA YETU ,WATANZANIA WANAKUTAKIA KILARAHELI KTK SHUGHULI ZA UJENZI WA TAIFA.

MAGUFULI NI KAZI TU.


Ni kazi gani slogan yenu mpya inachekesha sana
 
Hongera sana mama,taifa linakutegemea sana na sana.
 
Mama Pombe Magufuli ktk ziara zake za kuongeza ushindi ushindi kwa Mh Magufuli, amewahakikishia wanawake Chato kuwa serikali ijayo itahakikisha inaboresha miundo mbinu ua afya, hivo akina mama wazawajito, wazee na watoto watapata huduma stahiki kwawakati swala litakalopunguza vifo visivyokuwa vya lazima.
Aidha mama kasisitiza pia wanawake watapewa kipaumbele zaidi katika kupata mikopo yenye riba nafuu, pia vikundi mbalimabi vya kina mama vitawezeshwa ktk kuhakikisha mwanamke amekuwa mstari wa mbele ktk kuleta maendeleo ya familia.

HONGERA SANA MAMA YETU ,WATANZANIA WANAKUTAKIA KILARAHELI KTK SHUGHULI ZA UJENZI WA TAIFA.

MAGUFULI NI KAZI TU.

Ni mama yupi huyo?, yule Mwalimu au yule mtaalamu wa miamba aliyenunuliwa nyumba za serikali ili hali yeye sio mtumishi wa serikali, Slaa alimtaja jana kwenye mkutano wake wa kumkampenia Magufuli?

cc: Kamjingijingi
 
Last edited by a moderator:
Safi sana mama yetu,Mh atashinda kwa kishindo,hakika tupo pamoja nanyi.
 
Magamba mnafyata sana.....Jana mama Regina kang'aa humu leo mnajidai huyo mama magufuli nae kafanya kitu....mtaiga visivyoigika mwaka huu.....
 
Mama yetu hongera sana,wapinzani wataisoma namba. HAPA NI KAZI TU
 
Kwa kuiga hamjambo mmemuona Regina Lowassa anapiga campaign na nyie mmeenda kumvurumisha mama wa watu alieona mbali kwamba hapotezi muda sababu anajua mzee hashindi.
 
Mama Pombe Magufuli ktk ziara zake za kuongeza ushindi ushindi kwa Mh Magufuli, amewahakikishia wanawake Chato kuwa serikali ijayo itahakikisha inaboresha miundo mbinu ua afya, hivo akina mama wazawajito, wazee na watoto watapata huduma stahiki kwawakati swala litakalopunguza vifo visivyokuwa vya lazima.
Aidha mama kasisitiza pia wanawake watapewa kipaumbele zaidi katika kupata mikopo yenye riba nafuu, pia vikundi mbalimabi vya kina mama vitawezeshwa ktk kuhakikisha mwanamke amekuwa mstari wa mbele ktk kuleta maendeleo ya familia.

HONGERA SANA MAMA YETU ,WATANZANIA WANAKUTAKIA KILARAHELI KTK SHUGHULI ZA UJENZI WA TAIFA.

MAGUFULI NI KAZI TU.


Sijaona jipya hapo; mbona hizo ndio santuri za miaka nenda rudi? au hao ni samaki kuvuliwa na nyavu zile zile leteni mpya
 
Hivi hii kazi inafanywa na mtu mmoja....Picha mbona hamtubandikii. Hivi vyombo vya habari mbona viko kimya na hii habari?
.
 
Back
Top Bottom