mwanafalsafer
Member
- Jan 31, 2012
- 36
- 12
Kazi tu anafundisha kama walimu wengne!!mnataka watoto wenu wakacheze shulen kisa mwl yupo bungeni!!!
Mama anaandaaa msosi...una tatizo na hilo?
Huyo mama atakuwa anaishi Maisha magumu sana, kama kwenye public ni hivi huko ndani je
yupo kwake kwani vipi ? uwepo wake ulikuwa wa lazima bungeni..?
Usijitoe ufahamu bwana. Hili suala sio la CCM wala UKAWA. Kama hakuwepo imekaaje?
Wewe ni miongoni ya Bavicha wajinga wajinga...
Alikuwa na ukawa nje
acha matusi..hivi hapa jf kuna mjinga kama wewe?
Sidhani hapa Tanzania kama kuna mjinga zaidi ya Mbowe.
Ile spidi ya ukawa waliotokea bungen leo kwa kweli ni hataree,sijaona kabisaaaaa
Huyo mama atakuwa anaishi Maisha magumu sana, kama kwenye public ni hivi huko ndani je
Na wewe nawe unajikita kwenyr mambo mazito ya nchi? Ha ha haa!Mimi najikita kwenye mambo mazito ya nchi...
HALAFU WANASEMA CHAMA KINA MWANASHERIA SIJUI
KAZI YAKE NINI, AKILI ZA KUSHIKIWA MBAYA SANA
ALAFU BADO NA DOLI LAO KAMA POWER BANK, KAMA
NDIO MLIO TUMWA NA WANANCHI WENU HAYO
ENDELEENI, hawa jamaa wa cdm sio wastaharabu hata
kidogo ni
wahuni sijui nani anaendekeza huu upuuzi wao naona
kama wanawalealea sana, znz tume bado haijatangaza
raisi ni nani maana yake bado raisi ni yule yule
aliyekuwepo madarakani ss hapo kipi kigumu kuelewa,
mambo mengine si yakukariri ni ya kuelewa jamani
Mjinga ni wewe unaepata pini la kagenziWewe ni miongoni ya Bavicha wajinga wajinga...
Mimi najikita kwenye mambo mazito ya nchi. Tuna changamoto nyingi nchini. Sasa siwezi kuwa sawasawa na nyinyi wendawazimu na wanywa viroba ambao kazi yenu ni kujadili vitu vidogo vidogo na visivyo na tija kwa taifa.
Endeleeni kujadili kuhusu mke wa rais...mimi na wenye akili wenzangu tunajadili changamoto za nchi na namna ya kuzitatua. Ndio maana wananchi wanatupa ridhaa ya kuongoza nchi.