Mama Janeth Magufuli, ulikuwa wapi leo?

Mama Janeth Magufuli, ulikuwa wapi leo?

Aende bungeni kufata nini? Shukuru mungu umepata 1st lady asie mpiga dili. Mlichonga sana juu ya mama salma.
 
maneno mazito sana hawa. Mkuu mzalendo15 unajua kwa wengine kushika Biblia au Koran kuapa ni kitu kikubwa na kinamaanisha kuapa kweli!

Ila kwa wengine wafanya kuigiuza nafsini mwako roho inakusuta jinsi ulivyoiba kura alafu unaenda kuapa unafanya mzaha ns mungu. Ndio maana nchi hii haibakiwi licha yakuwa na rasilimali chungu mzima.
 
Kwa hiyo Mwl Nyerere angelala juu ya mti siku ya kuhutubia bunge ingemlazimu na Pombe naye leo alale juu ya mti kama Nyerere?
Hii ndoa ya Pombe mmeshindwa kuisuluhisha kulinda sura ya kijamii ya Pombe mbele ya wananchi?

Status ya ndoa si kigezo cha kuwa Rais au kutokuwa. Leo Hata kukimbia Bungeni mmesingizia eti hamumtambui Dr.Shein badala ya Magufuli, Lisu kahojiwa analalamika polisi kuingizwa ndan ya Bunge wakiwa na uniform kasahau kuwa Jk is no longer a President!!
 
Kwani ana kichanga??? Hujaona pinda kachukua mpk watoto???

Hawa wake zetu wakati mwingine wanatupunguza kasi! Kweli ilikiwa muhimu kuwepo lakini sio lazima!
Labda ungemshauri Mbowe na team yake watulie bungeni na kuwa wasikivu!
Tabia hizi za kutoka nje inawezekana NDIZO zilizosababisha kiongozi Mkuu mmoja ktk kundi lenu apate division 5
 
Is there something wrong between the two which we are not aware of? Or is it just her way of avoiding public eyes/attention? It's a bit unusual tho
 
Is there something wrong between the two which we are not aware of? Or is it just her way of avoiding public eyes/attention? It's a bit unusual tho

RayB

Try to focus on issues that suffocate our nation instead of things that are not of your concern. First lady's presence or absence in any event is not your business. Bear that in mind.
 
Last edited by a moderator:
Tumemchagua JPM kuwa Rais wetu, hatukuichagua familia!
Family yake ikihudhuria sawa, haikufika hakuna tatizo. Sasa kazi tu!
 
Ulipaswa uwepo hapa Dodoma. Wewe sasa ni First Lady.Leo ilikuwa siku muhimu kwa Rais na kwako. Wakati wa kampeni ilikuwa sawa kutoambatana na Mh. Rais. Si wakati huu.

Ingependeza ungeambatana na Rais Magufuli kama wengine walivyofanya. Ulikuwa wapi? Yawezekana wanafunzi wako walikutinga leo? Nimekuulizia tu Mama!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)

Tokea Kampeni Zianze Mama Wa Watu Muda Mwingi Alikuwa Anamuuguza Baba Mkwe Wake ( Mshua Wake Magu ) Ambaye Ni Mgonjwa Sana Na Tuzidi Kumwombea Tu Afya Njema Mzee Wetu Huyo Apone Haraka Ili Aweze Angalau Kufaidi Maisha Ya Kuwa Na Mtoto Wake Huyo Ambaye Ndiyo Mkuu Wetu Wa Kaya Sasa.
 
Kwa hiyo kama anahitajika na watoto awaache kisa kazi ya baba yao

Angekuwa anazurura na magali ya serikali mngefungua midomo pia kuwa anatumia pesa vibaya

Kakaa kimya familia kwanza mnapiga kelele
 
Ulipaswa uwepo hapa Dodoma. Wewe sasa ni First Lady.Leo ilikuwa siku muhimu kwa Rais na kwako. Wakati wa kampeni ilikuwa sawa kutoambatana na Mh. Rais. Si wakati huu.

Ingependeza ungeambatana na Rais Magufuli kama wengine walivyofanya. Ulikuwa wapi? Yawezekana wanafunzi wako walikutinga leo? Nimekuulizia tu Mama!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)

Ameamua kupunguza matumizi ya safari zisizo za lazima.
Hiyo pesa ya nauli itapelekwa kununua vitanda guest.
 
Uliuzoea urais wa baba,mama na watoto wa mzee wa msoga sio?
 
Naliona tatizo hapa,tupatupa huwa hakosei jambo.
 
Back
Top Bottom