Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Ndio maana nimeomba number za simu za ofisini za ofisa wa ustawi wa jamii mkoa au wilaya tuwaulize kama japo wana ifonrmation Huyu mama ni nani, ndugu zake ni nani na kwa mujibu wa tatizo lake ni nini? Naomba tena mtu anayejua number hata za ofisi ya mkuu wa wilaya ilala .
Mimi bado lawama zangu ni kuna baadhi ya watu hawafanyi kazi zao. wala kufutilia issue zinazoendana na kazi zao. Kazi ya Maofisa ustawi wa jamii wilaya na mkoa ni nini? Mifano kama ya huyu mama ip mingi katika levele mbali mbali
wakati jamii zetu za sasa zinakabiliwa na changamoto mbali mbali tena complicated bado wahusika wanafanya kazi kwa style ile ya 20 ago
Mahesabu wewe unaonaje ukivalia njuga ukawauliza ustawi wa jamii kama wa details zake. May be waambie unataka kumsaidia lakini unataka upate uhakika wa history yake waliyonayo wao. Kwa kutumia vyanzo mbali mbali walivyonanvyo.
Kama watakuwa hawana details yeyote mpaka leo hiii hata baada ya watu kunyoosha vidole then its a system failiure
Mimi bado lawama zangu ni kuna baadhi ya watu hawafanyi kazi zao. wala kufutilia issue zinazoendana na kazi zao. Kazi ya Maofisa ustawi wa jamii wilaya na mkoa ni nini? Mifano kama ya huyu mama ip mingi katika levele mbali mbali
- Kuna watoto walimu wao wanajua kabisa wameathirika kisaikolojia kutokana na sababu za kifamilia lakini hakuna mwongozo wa kuwalekeza kupeleka ripoi ustawi wa jamii
- Mtaani kuna kesi za ajabu ajabu za watoto wazazi wanapelekana polisi wakati ni issue ndogo tu
- Kwa nini mijini tuna vituo vya angaza, vituo vidogo vya polisi vituo vya afya lakini hatuna vituo vya social services. basi ikiwezekana watu wenye talluma hizi wawe integrated kwenye vituo hivi kwa kazi hizo specifically. Na hili nalo mpaka wafadhili waje na NGO
wakati jamii zetu za sasa zinakabiliwa na changamoto mbali mbali tena complicated bado wahusika wanafanya kazi kwa style ile ya 20 ago
mama huyu kwa maelezo yake hupenda (kumradhi)dogo dogo, beach boys ndo baba wa watoto....na ana lugha tatanishi wakati wa usiku....she offers herself to that if you need....! ....."WE RAFIKI YAKE MICHAEL(that baby boy ambaye mimi humuita erick)USIKU WOTE HUU UNATOKA WAPI, AU UNATAFUTA MTU WA KUKULIWAZA,NAJUA USHAGOMBANA NA MDOGO WANGU.....BASI USIANGAIKE JUST COME TO ME HALAFU HIYO ULIYOTAKA WAPA HAO NIWATUNZIE WANAO" alinambia.....!
Mahesabu wewe unaonaje ukivalia njuga ukawauliza ustawi wa jamii kama wa details zake. May be waambie unataka kumsaidia lakini unataka upate uhakika wa history yake waliyonayo wao. Kwa kutumia vyanzo mbali mbali walivyonanvyo.
Kama watakuwa hawana details yeyote mpaka leo hiii hata baada ya watu kunyoosha vidole then its a system failiure