Mama huyu ufukweni Ocean Road ana kazi gani?

kwa kuongezea yule mama anaongea lugha ya malkia vizuri sana
Kwa kuongezea tu alisema ana watoto 3 kwa mumewe wa kwanza ambao ndugu za mumewe wanawatunza ila hajui wapo wapi na anadhani wanaendelea vizuri. Utata wa story yake ktk gazeti ulikuwa hivi:
1. Anasema amestaafu na anadai mafao yake - je alistaafuje, kwa hiari au umri wa lazima? Mtu anayestaafu ana uwezo wa kuzaa hadi leo kama yeye?
2. Ana watoto watatu kwa mumewe wa kwanza (achilia mbali watano hao alionao) na Tanzania yetu hii hajui wako wapi wala wanaendeleaje?
3. Watoto wana afya na yeye anavuta fegi kila saa (may be bangi-sijui) anatoa wapi hela?
4. Watoto wanakula chips na wana afya njema ila hana baba wala nini, anatoa wapi?
5. Kasema analala pale pale beach, mbona watoto hawajafa na pneumonia?
Wale watoto wanapendwa sana na mama yao na ukimwangalia kwa mbali hana matatizo ya akili.
Ndio pia tatizo la wanahabari wetu na reported speech zao,wakipata taarifa wanaileta kama ilivyo, kwanini hawakufuatilia kama ni kweli alifundisha shule aliyosema, aliondokaje, aliolewa na nani, wapi, nk. Wao wameongea naye wakaibandika kama ilivyo!!!
Pia alisema mtoto wa mwisho alijizalisha mwenyewe pale pale ufukweni!!!
Msaidieni kama mnaweza, ila sidhani kama anahitaji msaada.
 
kwa kuongezea yule mama anaongea lugha ya malkia vizuri sana
Kwa kuongezea tu alisema ana watoto 3 kwa mumewe wa kwanza ambao ndugu za mumewe wanawatunza ila hajui wapo wapi na anadhani wanaendelea vizuri. Utata wa story yake ktk gazeti ulikuwa hivi:
1. Anasema amestaafu na anadai mafao yake - je alistaafuje, kwa hiari au umri wa lazima? Mtu anayestaafu ana uwezo wa kuzaa hadi leo kama yeye?
2. Ana watoto watatu kwa mumewe wa kwanza (achilia mbali watano hao alionao) na Tanzania yetu hii hajui wako wapi wala wanaendeleaje?
3. Watoto wana afya na yeye anavuta fegi kila saa (may be bangi-sijui) anatoa wapi hela?
4. Watoto wanakula chips na wana afya njema ila hana baba wala nini, anatoa wapi?
5. Kasema analala pale pale beach, mbona watoto hawajafa na pneumonia?
Wale watoto wanapendwa sana na mama yao na ukimwangalia kwa mbali hana matatizo ya akili.
Ndio pia tatizo la wanahabari wetu na reported speech zao,wakipata taarifa wanaileta kama ilivyo, kwanini hawakufuatilia kama ni kweli alifundisha shule aliyosema, aliondokaje, aliolewa na nani, wapi, nk. Wao wameongea naye wakaibandika kama ilivyo!!!
Pia alisema mtoto wa mwisho alijizalisha mwenyewe pale pale ufukweni!!!
Msaidieni kama mnaweza, ila sidhani kama anahitaji msaada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom