Mama Dorothy Gwajima: Tunu ya Utumishi wa Umma na Mlezi wa Jamii

Mama Dorothy Gwajima: Tunu ya Utumishi wa Umma na Mlezi wa Jamii

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
6,132
Reaction score
10,514
Ni saa mbili asubuhi jijini Dodoma. Simu ya mezani ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, inaita mara mbili mfululizo. Ni taarifa kutoka kwa wananchi zinaoeleza kuhusu mzozo wa kifamilia uliosababisha taharuki katika moja ya mtaa ya jijini Dar es Salaam.
images (61).jpeg

Kwa ustadi na umakini wa hali ya juu, Dkt. Gwajima anapokea taarifa hizo na mara moja kuanza kutoa mwongozo. Anatoa maelekezo pamoja na namba za simu za wahusika ambao wanapaswa kushughulikia suala hilo huku akiweka wazi kuwa atafuatilia suala hilo kwa upana wake na kutoa pole kwa familia.
images (60).jpeg

“Jamii yenye nguvu huanzia katika familia imara,” hii ni nukuu ambayo inaendana na maisha ya Dkt Gwajima. Ni kauli ambayo si tu inaleta suluhu, bali pia inadhihirisha falsafa yake ya uongozi: kiongozi si mtu kwa cheo chake, bali ni mlezi na mshauri wa jamii.
images (59).jpeg

Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ni miongoni mwa viongozi wachache wa Tanzania ambao utumishi wao umekuwa ni tunu kwa wananchi ingawa yupo ndani ya chama cha X.
images (57).jpeg

Kwa wengi, yeye ni alama ya matumaini, mtu anayeishi kile anachokihubiri. Akihusiana kwa karibu na changamoto zinazowakabili Watanzania wa hali ya kawaida, amekuwa mstari wa mbele kupigania haki za wanawake, watoto na makundi maalum. Hutumia muda mwingi kusikiliza, kuelewa na kushauri, akithibitisha kuwa nafasi yake si ya kisiasa pekee bali ni ya kijamii.
images (56).jpeg

Katika kampeni mbalimbali za kitaifa zinazolenga kumaliza ukatili wa kijinsia na kuhakikisha kuwa watoto wanapata haki zao, Mhe. Gwajima amejikita si tu katika kutunga sera, bali pia katika kushiriki moja kwa moja kwenye vikao vya usuluhishi, mikutano ya kijamii na hata kutembelea maeneo yenye changamoto. Mtindo huu wa uongozi umewafanya wananchi kumwona kama kiongozi anayeishi ndani ya jamii na siyo juu yake.
images (55).jpeg

Upekee wake unadhihirika pia katika namna anavyowatia moyo watu, wanaume na wanawake pamoja na vijana ingawa kuna wakati anatia chumvi na kunogesha maisha. Mara nyingi amekuwa akionekana kwenye mitandao ya kijamii akitoa elimu na wakati mwingine kuburudisha majukwaa kadhaa.
images (61).jpeg

Ila upekee wake ambao unamuweka tofauti na viongozi wengine ni uchangamfu na usikivu haswa matatizo ya kijamii yakitokea.

Kitu kingine kinachomfanya awe tofauti Dkt. Gwajima ni uhalisia wa maisha yake binafsi unaoendana na dhima yake ya kitaifa. Watu humwona kama Mama mnyenyekevu, mwenye huruma na anayejua changamoto za kulea, kushauri na kulea kizazi kipya. Ni mfano wa namna mwanamke anaweza kuwa, Mama bora na bado akaendelea kuwa kiongozi thabiti.
images (60).jpeg

Ni ukweli kwamba Tanzania imebarikiwa kuwa na viongozi wengi wenye nia njema, lakini si wote ambao huacha alama ya kudumu mioyoni mwa wananchi.
images (59).jpeg

Kwa Dkt. Dorothy Gwajima, nafasi yake katika historia ya Tanzania ni ile ya kiongozi ambaye alitumia nafasi yake kuleta mshikamano, matumaini na mwelekeo bora kwa jamii. Yeye ni tunu ya utumishi wa umma – kioo kinachotuonesha kuwa uongozi bora ni ule unaochanganya hekima, ucheshi, upendo na mshikamano ndani ya jamii.
images (57).jpeg

Mama Gwajima ninakupa heshima kubwa sana na upekee maua yako! Fahamu wewe ni kipenzi cha watanzania, ingawa upo chama X ila watu wanakupenda sana, kazi yako ni kubwa na nzito ila unatufanya tufurahi na kujifunza kupitia kazi yako. Wala huna deni na mimi, ISHI SANA BI MKUBWA.
 
Ni saa mbili asubuhi jijini Dodoma. Simu ya mezani ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, inaita mara mbili mfululizo. Ni taarifa kutoka kwa wananchi zinaoeleza kuhusu mzozo wa kifamilia uliosababisha taharuki katika moja ya mtaa ya jijini Dar es Salaam.
View attachment 3457929
Kwa ustadi na umakini wa hali ya juu, Dkt. Gwajima anapokea taarifa hizo na mara moja kuanza kutoa mwongozo. Anatoa maelekezo pamoja na namba za simu za wahusika ambao wanapaswa kushughulikia suala hilo huku akiweka wazi kuwa atafuatilia suala hilo kwa upana wake na kutoa pole kwa familia.
View attachment 3457930
“Jamii yenye nguvu huanzia katika familia imara,” hii ni nukuu ambayo inaendana na maisha ya Dkt Gwajima. Ni kauli ambayo si tu inaleta suluhu, bali pia inadhihirisha falsafa yake ya uongozi: kiongozi si mtu kwa cheo chake, bali ni mlezi na mshauri wa jamii.
View attachment 3457931
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ni miongoni mwa viongozi wachache wa Tanzania ambao utumishi wao umekuwa ni tunu kwa wananchi ingawa yupo ndani ya chama cha X.
View attachment 3457932
Kwa wengi, yeye ni alama ya matumaini, mtu anayeishi kile anachokihubiri. Akihusiana kwa karibu na changamoto zinazowakabili Watanzania wa hali ya kawaida, amekuwa mstari wa mbele kupigania haki za wanawake, watoto na makundi maalum. Hutumia muda mwingi kusikiliza, kuelewa na kushauri, akithibitisha kuwa nafasi yake si ya kisiasa pekee bali ni ya kijamii.
View attachment 3457933
Katika kampeni mbalimbali za kitaifa zinazolenga kumaliza ukatili wa kijinsia na kuhakikisha kuwa watoto wanapata haki zao, Mhe. Gwajima amejikita si tu katika kutunga sera, bali pia katika kushiriki moja kwa moja kwenye vikao vya usuluhishi, mikutano ya kijamii na hata kutembelea maeneo yenye changamoto. Mtindo huu wa uongozi umewafanya wananchi kumwona kama kiongozi anayeishi ndani ya jamii na siyo juu yake.
View attachment 3457934
Upekee wake unadhihirika pia katika namna anavyowatia moyo watu, wanaume na wanawake pamoja na vijana ingawa kuna wakati anatia chumvi na kunogesha maisha. Mara nyingi amekuwa akionekana kwenye mitandao ya kijamii akitoa elimu na wakati mwingine kuburudisha majukwaa kadhaa.
View attachment 3457929
Ila upekee wake ambao unamuweka tofauti na viongozi wengine ni uchangamfu na usikivu haswa matatizo ya kijamii yakitokea.

Kitu kingine kinachomfanya awe tofauti Dkt. Gwajima ni uhalisia wa maisha yake binafsi unaoendana na dhima yake ya kitaifa. Watu humwona kama Mama mnyenyekevu, mwenye huruma na anayejua changamoto za kulea, kushauri na kulea kizazi kipya. Ni mfano wa namna mwanamke anaweza kuwa, Mama bora na bado akaendelea kuwa kiongozi thabiti.
View attachment 3457930
Ni ukweli kwamba Tanzania imebarikiwa kuwa na viongozi wengi wenye nia njema, lakini si wote ambao huacha alama ya kudumu mioyoni mwa wananchi.
View attachment 3457931
Kwa Dkt. Dorothy Gwajima, nafasi yake katika historia ya Tanzania ni ile ya kiongozi ambaye alitumia nafasi yake kuleta mshikamano, matumaini na mwelekeo bora kwa jamii. Yeye ni tunu ya utumishi wa umma – kioo kinachotuonesha kuwa uongozi bora ni ule unaochanganya hekima, ucheshi, upendo na mshikamano ndani ya jamii.
View attachment 3457932
Mama Gwajima ninakupa heshima kubwa sana na upekee maua yako! Fahamu wewe ni kipenzi cha watanzania, ingawa upo chama X ila watu wanakupenda sana, kazi yako ni kubwa na nzito ila unatufanya tufurahi na kujifunza kupitia kazi yako. Wala huna deni na mimi, ISHI SANA BI MKUBWA.
Dkt. Gwajima D Hongera
 
Mama Gwajima ninakupa heshima kubwa sana na upekee maua yako! Fahamu wewe ni kipenzi cha watanzania, ingawa upo chama CCM ila watu wanakupenda sana, kazi yako ni kubwa na nzito ila unatufanya tufurahi na kujifunza kupitia kazi yako. Wala huna deni na mimi, ISHI SANA BI MKUBWA.
Waziri Gwajima yupo vizuri sana, binafsi namkubali sana. ⭐⭐⭐⭐⭐
 
Ni saa mbili asubuhi jijini Dodoma. Simu ya mezani ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, inaita mara mbili mfululizo. Ni taarifa kutoka kwa wananchi zinaoeleza kuhusu mzozo wa kifamilia uliosababisha taharuki katika moja ya mtaa ya jijini Dar es Salaam.
View attachment 3457929
Kwa ustadi na umakini wa hali ya juu, Dkt. Gwajima anapokea taarifa hizo na mara moja kuanza kutoa mwongozo. Anatoa maelekezo pamoja na namba za simu za wahusika ambao wanapaswa kushughulikia suala hilo huku akiweka wazi kuwa atafuatilia suala hilo kwa upana wake na kutoa pole kwa familia.
View attachment 3457930
“Jamii yenye nguvu huanzia katika familia imara,” hii ni nukuu ambayo inaendana na maisha ya Dkt Gwajima. Ni kauli ambayo si tu inaleta suluhu, bali pia inadhihirisha falsafa yake ya uongozi: kiongozi si mtu kwa cheo chake, bali ni mlezi na mshauri wa jamii.
View attachment 3457931
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ni miongoni mwa viongozi wachache wa Tanzania ambao utumishi wao umekuwa ni tunu kwa wananchi ingawa yupo ndani ya chama cha X.
View attachment 3457932
Kwa wengi, yeye ni alama ya matumaini, mtu anayeishi kile anachokihubiri. Akihusiana kwa karibu na changamoto zinazowakabili Watanzania wa hali ya kawaida, amekuwa mstari wa mbele kupigania haki za wanawake, watoto na makundi maalum. Hutumia muda mwingi kusikiliza, kuelewa na kushauri, akithibitisha kuwa nafasi yake si ya kisiasa pekee bali ni ya kijamii.
View attachment 3457933
Katika kampeni mbalimbali za kitaifa zinazolenga kumaliza ukatili wa kijinsia na kuhakikisha kuwa watoto wanapata haki zao, Mhe. Gwajima amejikita si tu katika kutunga sera, bali pia katika kushiriki moja kwa moja kwenye vikao vya usuluhishi, mikutano ya kijamii na hata kutembelea maeneo yenye changamoto. Mtindo huu wa uongozi umewafanya wananchi kumwona kama kiongozi anayeishi ndani ya jamii na siyo juu yake.
View attachment 3457934
Upekee wake unadhihirika pia katika namna anavyowatia moyo watu, wanaume na wanawake pamoja na vijana ingawa kuna wakati anatia chumvi na kunogesha maisha. Mara nyingi amekuwa akionekana kwenye mitandao ya kijamii akitoa elimu na wakati mwingine kuburudisha majukwaa kadhaa.
View attachment 3457929
Ila upekee wake ambao unamuweka tofauti na viongozi wengine ni uchangamfu na usikivu haswa matatizo ya kijamii yakitokea.

Kitu kingine kinachomfanya awe tofauti Dkt. Gwajima ni uhalisia wa maisha yake binafsi unaoendana na dhima yake ya kitaifa. Watu humwona kama Mama mnyenyekevu, mwenye huruma na anayejua changamoto za kulea, kushauri na kulea kizazi kipya. Ni mfano wa namna mwanamke anaweza kuwa, Mama bora na bado akaendelea kuwa kiongozi thabiti.
View attachment 3457930
Ni ukweli kwamba Tanzania imebarikiwa kuwa na viongozi wengi wenye nia njema, lakini si wote ambao huacha alama ya kudumu mioyoni mwa wananchi.
View attachment 3457931
Kwa Dkt. Dorothy Gwajima, nafasi yake katika historia ya Tanzania ni ile ya kiongozi ambaye alitumia nafasi yake kuleta mshikamano, matumaini na mwelekeo bora kwa jamii. Yeye ni tunu ya utumishi wa umma – kioo kinachotuonesha kuwa uongozi bora ni ule unaochanganya hekima, ucheshi, upendo na mshikamano ndani ya jamii.
View attachment 3457932
Mama Gwajima ninakupa heshima kubwa sana na upekee maua yako! Fahamu wewe ni kipenzi cha watanzania, ingawa upo chama X ila watu wanakupenda sana, kazi yako ni kubwa na nzito ila unatufanya tufurahi na kujifunza kupitia kazi yako. Wala huna deni na mimi, ISHI SANA BI MKUBWA.
4FDA7481-DCA2-430F-B590-9C06F749E005.jpeg
😍😍😍
 
Kuna huyu waziri na
Mkuu wa mkoa Njombe, Antony Mataka.

Naona ndio waccm na viongozi wenye akili
 
Ni saa mbili asubuhi jijini Dodoma. Simu ya mezani ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, inaita mara mbili mfululizo. Ni taarifa kutoka kwa wananchi zinaoeleza kuhusu mzozo wa kifamilia uliosababisha taharuki katika moja ya mtaa ya jijini Dar es Salaam.
View attachment 3457929
Kwa ustadi na umakini wa hali ya juu, Dkt. Gwajima anapokea taarifa hizo na mara moja kuanza kutoa mwongozo. Anatoa maelekezo pamoja na namba za simu za wahusika ambao wanapaswa kushughulikia suala hilo huku akiweka wazi kuwa atafuatilia suala hilo kwa upana wake na kutoa pole kwa familia.
View attachment 3457930
“Jamii yenye nguvu huanzia katika familia imara,” hii ni nukuu ambayo inaendana na maisha ya Dkt Gwajima. Ni kauli ambayo si tu inaleta suluhu, bali pia inadhihirisha falsafa yake ya uongozi: kiongozi si mtu kwa cheo chake, bali ni mlezi na mshauri wa jamii.
View attachment 3457931
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ni miongoni mwa viongozi wachache wa Tanzania ambao utumishi wao umekuwa ni tunu kwa wananchi ingawa yupo ndani ya chama cha X.
View attachment 3457932
Kwa wengi, yeye ni alama ya matumaini, mtu anayeishi kile anachokihubiri. Akihusiana kwa karibu na changamoto zinazowakabili Watanzania wa hali ya kawaida, amekuwa mstari wa mbele kupigania haki za wanawake, watoto na makundi maalum. Hutumia muda mwingi kusikiliza, kuelewa na kushauri, akithibitisha kuwa nafasi yake si ya kisiasa pekee bali ni ya kijamii.
View attachment 3457933
Katika kampeni mbalimbali za kitaifa zinazolenga kumaliza ukatili wa kijinsia na kuhakikisha kuwa watoto wanapata haki zao, Mhe. Gwajima amejikita si tu katika kutunga sera, bali pia katika kushiriki moja kwa moja kwenye vikao vya usuluhishi, mikutano ya kijamii na hata kutembelea maeneo yenye changamoto. Mtindo huu wa uongozi umewafanya wananchi kumwona kama kiongozi anayeishi ndani ya jamii na siyo juu yake.
View attachment 3457934
Upekee wake unadhihirika pia katika namna anavyowatia moyo watu, wanaume na wanawake pamoja na vijana ingawa kuna wakati anatia chumvi na kunogesha maisha. Mara nyingi amekuwa akionekana kwenye mitandao ya kijamii akitoa elimu na wakati mwingine kuburudisha majukwaa kadhaa.
View attachment 3457929
Ila upekee wake ambao unamuweka tofauti na viongozi wengine ni uchangamfu na usikivu haswa matatizo ya kijamii yakitokea.

Kitu kingine kinachomfanya awe tofauti Dkt. Gwajima ni uhalisia wa maisha yake binafsi unaoendana na dhima yake ya kitaifa. Watu humwona kama Mama mnyenyekevu, mwenye huruma na anayejua changamoto za kulea, kushauri na kulea kizazi kipya. Ni mfano wa namna mwanamke anaweza kuwa, Mama bora na bado akaendelea kuwa kiongozi thabiti.
View attachment 3457930
Ni ukweli kwamba Tanzania imebarikiwa kuwa na viongozi wengi wenye nia njema, lakini si wote ambao huacha alama ya kudumu mioyoni mwa wananchi.
View attachment 3457931
Kwa Dkt. Dorothy Gwajima, nafasi yake katika historia ya Tanzania ni ile ya kiongozi ambaye alitumia nafasi yake kuleta mshikamano, matumaini na mwelekeo bora kwa jamii. Yeye ni tunu ya utumishi wa umma – kioo kinachotuonesha kuwa uongozi bora ni ule unaochanganya hekima, ucheshi, upendo na mshikamano ndani ya jamii.
View attachment 3457932
Mama Gwajima ninakupa heshima kubwa sana na upekee maua yako! Fahamu wewe ni kipenzi cha watanzania, ingawa upo chama X ila watu wanakupenda sana, kazi yako ni kubwa na nzito ila unatufanya tufurahi na kujifunza kupitia kazi yako. Wala huna deni na mimi, ISHI SANA BI MKUBWA.
Huyu mama sikuwa nampenda hapo kabla.

Lakini ameonesha kuwa karibu na raia kuliko waziri mwingine yeyote. Ni waziri pekee ambaye anasave namba za raia wema wanaompa taarifa za mambo yanayohusu wizara yake.

Shida wabongo wanamfanyia dhihaka na utani kwenye page zake, jambo ambalo linaweza kumfanya aone hakuna haja ya kuwasogelea wananchi.

All in all, ameupiga mwingi mpaka golini
 
Ni saa mbili asubuhi jijini Dodoma. Simu ya mezani ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, inaita mara mbili mfululizo. Ni taarifa kutoka kwa wananchi zinaoeleza kuhusu mzozo wa kifamilia uliosababisha taharuki katika moja ya mtaa ya jijini Dar es Salaam.
View attachment 3457929
Kwa ustadi na umakini wa hali ya juu, Dkt. Gwajima anapokea taarifa hizo na mara moja kuanza kutoa mwongozo. Anatoa maelekezo pamoja na namba za simu za wahusika ambao wanapaswa kushughulikia suala hilo huku akiweka wazi kuwa atafuatilia suala hilo kwa upana wake na kutoa pole kwa familia.
View attachment 3457930
“Jamii yenye nguvu huanzia katika familia imara,” hii ni nukuu ambayo inaendana na maisha ya Dkt Gwajima. Ni kauli ambayo si tu inaleta suluhu, bali pia inadhihirisha falsafa yake ya uongozi: kiongozi si mtu kwa cheo chake, bali ni mlezi na mshauri wa jamii.
View attachment 3457931
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ni miongoni mwa viongozi wachache wa Tanzania ambao utumishi wao umekuwa ni tunu kwa wananchi ingawa yupo ndani ya chama cha X.
View attachment 3457932
Kwa wengi, yeye ni alama ya matumaini, mtu anayeishi kile anachokihubiri. Akihusiana kwa karibu na changamoto zinazowakabili Watanzania wa hali ya kawaida, amekuwa mstari wa mbele kupigania haki za wanawake, watoto na makundi maalum. Hutumia muda mwingi kusikiliza, kuelewa na kushauri, akithibitisha kuwa nafasi yake si ya kisiasa pekee bali ni ya kijamii.
View attachment 3457933
Katika kampeni mbalimbali za kitaifa zinazolenga kumaliza ukatili wa kijinsia na kuhakikisha kuwa watoto wanapata haki zao, Mhe. Gwajima amejikita si tu katika kutunga sera, bali pia katika kushiriki moja kwa moja kwenye vikao vya usuluhishi, mikutano ya kijamii na hata kutembelea maeneo yenye changamoto. Mtindo huu wa uongozi umewafanya wananchi kumwona kama kiongozi anayeishi ndani ya jamii na siyo juu yake.
View attachment 3457934
Upekee wake unadhihirika pia katika namna anavyowatia moyo watu, wanaume na wanawake pamoja na vijana ingawa kuna wakati anatia chumvi na kunogesha maisha. Mara nyingi amekuwa akionekana kwenye mitandao ya kijamii akitoa elimu na wakati mwingine kuburudisha majukwaa kadhaa.
View attachment 3457929
Ila upekee wake ambao unamuweka tofauti na viongozi wengine ni uchangamfu na usikivu haswa matatizo ya kijamii yakitokea.

Kitu kingine kinachomfanya awe tofauti Dkt. Gwajima ni uhalisia wa maisha yake binafsi unaoendana na dhima yake ya kitaifa. Watu humwona kama Mama mnyenyekevu, mwenye huruma na anayejua changamoto za kulea, kushauri na kulea kizazi kipya. Ni mfano wa namna mwanamke anaweza kuwa, Mama bora na bado akaendelea kuwa kiongozi thabiti.
View attachment 3457930
Ni ukweli kwamba Tanzania imebarikiwa kuwa na viongozi wengi wenye nia njema, lakini si wote ambao huacha alama ya kudumu mioyoni mwa wananchi.
View attachment 3457931
Kwa Dkt. Dorothy Gwajima, nafasi yake katika historia ya Tanzania ni ile ya kiongozi ambaye alitumia nafasi yake kuleta mshikamano, matumaini na mwelekeo bora kwa jamii. Yeye ni tunu ya utumishi wa umma – kioo kinachotuonesha kuwa uongozi bora ni ule unaochanganya hekima, ucheshi, upendo na mshikamano ndani ya jamii.
View attachment 3457932
Mama Gwajima ninakupa heshima kubwa sana na upekee maua yako! Fahamu wewe ni kipenzi cha watanzania, ingawa upo chama X ila watu wanakupenda sana, kazi yako ni kubwa na nzito ila unatufanya tufurahi na kujifunza kupitia kazi yako. Wala huna deni na mimi, ISHI SANA BI MKUBWA.
Nakushukuru kwa ushirikiano, tuendelee kushirikiana, Mungu akubariki, nakutakia kila la heri wewe na wote wanaotoa ushirikiano katika hatua zote za utekelezaji wa majukumu ya kusukuma mbele sekta ya maendeleo na ustawi wa jamii. 🙏👋
 
Nakushukuru kwa ushirikiano, tuendelee kushirikiana, Mungu akubariki, nakutakia kila la heri wewe na wote wanaotoa ushirikiano katika hatua zote za utekelezaji wa majukumu ya kusukuma mbele sekta ya maendeleo na ustawi wa jamii. 🙏👋
Ubarikiwe sana 😊
 
Back
Top Bottom