Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,628
- 1,290
ITV Tanzania:
Katika hali isiyo ya kawaida mbuzi mmoja wa mkulima Bi Rehema Daniford wa kijiji cha Kinapanda wilayani Iramba mkoani Singida Amezaa mtoto wa mbuzi anaye fanana na binadamu sehemu za kichwa na jinsiya ya kiume na miguuyake ikiwa na kwato za mbuzi.
Source: ITV page facebook!
Katika hali isiyo ya kawaida mbuzi mmoja wa mkulima Bi Rehema Daniford wa kijiji cha Kinapanda wilayani Iramba mkoani Singida Amezaa mtoto wa mbuzi anaye fanana na binadamu sehemu za kichwa na jinsiya ya kiume na miguuyake ikiwa na kwato za mbuzi.
Source: ITV page facebook!