Mama na mtoto wauawa kwa kukatwa vichwa, muuaji aondoka na vichwa vyao

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,115
Mauaji.png

Mwanamke mmoja aitwaye Mwanaisha Matere (37) na Mtoto wake Baraka Maita mwenye umri wa miaka 7 Wakazi wa Kijiji cha Mavimba Kata ya Milola Wilayani Ulanga Mkoani Morogoro wameuawa kwa kuchinjwa shingo na kutenganishwa viwiliwili vyao na vichwa huku chanzo kikiwa bado hakifahamiki.

Diwani wa Kata ya Milola lilikotokea tukio hilo Masoud Mohamedi ameiambia amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 24,2023 ambapo Majirani waliona damu zikichuruzika mlangoni na walipofungua mlango walikuta viwiliwili vya marehemu vikiwa havina vichwa.

Amesema katika nyumba hiyo walikuwa wakiishi na Mtu mmoja Mgeni ambaye alikaribishwa kama Mfanyakazi wa shamba lakini baada ya tukio hilo hakuonekana nyumbani hapo na wakati tukio linatokea Baba wa Familia hiyo alikuwa amesafiri na kuwaacha nyumbani hapo Mke, Mtoto wake pamoja na Mgeni huyo ambaye anahisiwa kuwa ndiye aliyewaua na kuwakata vichwa Mama na Mtoto kisha kuondoka na vichwa.

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga , Julius Ningu amethibisha kutokea kwa tukio hili ambapo amesema jitihada zinaendelea za kumsaka Mtuhumiwa wa tukio hilo.

Chanzo: Millad Ayo
 

Mwanamke mmoja aitwaye Mwanaisha Matere (37) na Mtoto wake Baraka Maita mwenye umri wa miaka 7 Wakazi wa Kijiji cha Mavimba Kata ya Milola Wilayani Ulanga Mkoani Morogoro wameuawa kwa kuchinjwa shingo na kutenganishwa viwiliwili vyao na vichwa huku chanzo kikiwa bado hakifahamiki.

Diwani wa Kata ya Milola lilikotokea tukio hilo Masoud Mohamedi ameiambia amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 24,2023 ambapo Majirani waliona damu zikichuruzika mlangoni na walipofungua mlango walikuta viwiliwili vya marehemu vikiwa havina vichwa.

Amesema katika nyumba hiyo walikuwa wakiishi na Mtu mmoja Mgeni ambaye alikaribishwa kama Mfanyakazi wa shamba lakini baada ya tukio hilo hakuonekana nyumbani hapo na wakati tukio linatokea Baba wa Familia hiyo alikuwa amesafiri na kuwaacha nyumbani hapo Mke, Mtoto wake pamoja na Mgeni huyo ambaye anahisiwa kuwa ndiye aliyewaua na kuwakata vichwa Mama na Mtoto kisha kuondoka na vichwa.

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga , Julius Ningu amethibisha kutokea kwa tukio hili ambapo amesema jitihada zinaendelea za kumsaka Mtuhumiwa wa tukio hilo.

Chanzo: Millad Ayo
Hawa wageni wa kukaribisha Hawa ni risk kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mwanamke mmoja aitwaye Mwanaisha Matere (37) na Mtoto wake Baraka Maita mwenye umri wa miaka 7 Wakazi wa Kijiji cha Mavimba Kata ya Milola Wilayani Ulanga Mkoani Morogoro wameuawa kwa kuchinjwa shingo na kutenganishwa viwiliwili vyao na vichwa huku chanzo kikiwa bado hakifahamiki.

Diwani wa Kata ya Milola lilikotokea tukio hilo Masoud Mohamedi ameiambia amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 24,2023 ambapo Majirani waliona damu zikichuruzika mlangoni na walipofungua mlango walikuta viwiliwili vya marehemu vikiwa havina vichwa.

Amesema katika nyumba hiyo walikuwa wakiishi na Mtu mmoja Mgeni ambaye alikaribishwa kama Mfanyakazi wa shamba lakini baada ya tukio hilo hakuonekana nyumbani hapo na wakati tukio linatokea Baba wa Familia hiyo alikuwa amesafiri na kuwaacha nyumbani hapo Mke, Mtoto wake pamoja na Mgeni huyo ambaye anahisiwa kuwa ndiye aliyewaua na kuwakata vichwa Mama na Mtoto kisha kuondoka na vichwa.

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga , Julius Ningu amethibisha kutokea kwa tukio hili ambapo amesema jitihada zinaendelea za kumsaka Mtuhumiwa wa tukio hilo.

Chanzo: Millad Ayo
Nini hasa sababu halisi ya mauaji haya ya kikatili???Huyu mgeni alifikaje na kukaribishwa kwenye familia hiyo??Nani hasa alikuwa mtu wa kwanza katika familia hiyo aliyehusika ktk kumtambulisha na kumkaribisha mgeni huyo??Je, alikuwa mume au mke ambaye aliyemleta mgeni huyo hapo nyumbani kwa mara ya Kwanza??
"Wakati mauaji hayo yalipofanyika mume hakuwapo nyumbani hapo", Je, mume huyo alisafiri kwenda wapi?? Ktk mfumo wake wa maisha ya kawaida ya kila siku, Je, mwanaume huyo amekuwa na kawaida ya kusafiri??Kwa sababu naona hapa kama kuna kitu kinachoitwa "Master Planner Theory" kuhusiana na uhusika wa watendaji/wapangaji wa uhalifu wa namna hii. Uangalifu na umakini mkubwa unatakiwa kuzingatiwa ktk kulishughulikia suala hili, ikiwemo na kuchukua sampuli za vinasaba vya hawa marehemu (mama na mtoto wake) kabla hawajazikwa ili kuweza kupima DNA ili kuthibitisha kwamba kweli mtoto huyo aliyeuliwa baba yake hasa yupi, Je, huyo mume halali wa ndoa, huyo mgeni/houseboy aliyekaribishwa hapo nyumbani au mtu mwingine???Huenda pengine hicho kinaweza kuwa chanzo cha mauaji hayo.
 
Mke unaanzaje kumkaribisha mgeni wa kiume bila ruhusa ya mumeo makosa ya wanawake bado yatazidi ku rotate pale pale.

Sent from my iPhone 15 Pro Max
 
Back
Top Bottom