Mama ana chawa wake?

 

Nyerere angeweza kutamka hivi?

Ama kweli kuna ma Rais na ma rais.
 
Huyu mama anaonesha ni wa huku mitandaoni sana, na kwa vile huu msamiati wa neno "chawa" unatrend sana huku amejikuta analitumi kama vile yuko huku.
Sio zaidi ya hapo.
 
Hata Mimi jana nilivyosikia neno chawa kutoka kwake nilishangaa sana, UCHAWA naona umehalalishwa kutoka kwa Rais na chawa huwa hawakosoi wao ni kutetea tu.
 
Hata Mimi jana nilivyosikia neno chawa kutoka kwake nilishangaa sana, UCHAWA naona umehalalishwa kutoka kwa Rais na chawa huwa hawakosoi wao ni kutetea tu.
Ila pia chawa ni kimelea kinacholeta magonjwa ya aibu
 
Sishangai wengine kudai TZ inaongoza kuwa na viongozi VILAZA!
Kuanzia Bashite Kigwa Mwigu na Bi Mwamvua!
 
chawa ukiachana na huyo archanida ana general term anaitwa sycophant, toady,au boot-licer nadhani hiyo ndo chawa wanaomanishwa hapa
sycophant,
Is a person who praises powerful people in order to get their approval
A servile self-seeking flatterer
Nadhani maza alimanisha huyu chawa
 
boot-licer nadhani hiyo ndo chawa wanaomanishwa hapa
 
Chawa alitaka kumaanisha ana mbwa wake ambao watang'ata wanaobeza ama kutukana, kwa hio sio mstahimilivu kisiasa, anapenda kusifiwa sana. Angepaswa aseme mimi ntaziba masikio mkiongea yenu mimi napiga kazi, kuogofya ni udhaifu mkubwa sana
Walau ungetafuta hotuba yake kwa maandishi uelewe aliongea nini!!!..unakurupuka tu Kama uharo!!
 
Huyu mama anaonesha ni wa huku mitandaoni sana, na kwa vile huu msamiati wa neno "chawa" unatrend sana huku amejikuta analitumi kama vile yuko huku.
Sio zaidi ya hapo.
Mitandaoni ndiko anapata ukweli wa nini kinaendelea.
 
Maana ya chawa kwa siku za karibuni imebadilika ukiangalia muktadha wa watumiaji wa hilo neno huwa wanamaanisha wapambe, vijana wa sasa ndio wanaita chawa.

Acha kukaza sana kichwa mkuu utavunjika shingo
 
Mkuu hyo ni personification sikutegemea great thinker kama wewe kuleta huu utopolo ni kama Magufuli alivyokua anaitwa Jiwe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…