siasa ni mchezo wa ajabu sana.sijui kama kuna mwanasiasa ataiona pepo
dah! Kweli mkuuu!
siasa ni mchezo wa ajabu sana.sijui kama kuna mwanasiasa ataiona pepo
Mkuu, hiyo haiandikwi hivyo kama ulivyoandika. Ni TartiiiibuuVita vya panzi, furaha ya kunguru. Waendelee kusigana tu huku sisi tukijenga chama! Dhambi ya usaliti waliyotaka kuipandikiza chadema inaanza kuwatafuna wenyewe taratiiiiiiiibu!
Mnayemjua nyie ni Zitto (RIP-Politically). Sasa mwombeni aje awasaidie kwa mbinu iliyomuwezesha "kushinda" vita yake. Au andaeni Wahuni wa kuandamana na mabango. Au Kinyozi hajinyoi?
Hii bado ni 'trela' ama 'picha' ndio lishaanza
mahindi yangu ya kubanika ninayo tayari, kinachofuata ni kufaidi 'picha'
Mi nimeshakunywa kahawa ya kutosha. Halali mtu hapa mpaka hili muvi la komando kipensi liishe. Raha si raha jama??
Samuel Sitta : 500,000
Anne Kilango : 400,000
James Lembel : 400,000
Hawa jamaa walikuwa na Chuki na Hasira na CCM ndiyo maana wakachangia zaidi
Mkuu, tatizo si kuchangia, ila ni hiyo namba ya wachangiaji na wanachanga kwa madhumuni gani.Kiabo mwenyewe Msaliti,kuchangia upinzani ni kawaida tu,muulize Mkono na Sabodo
Nahofia tu lisije kuwa ni 'li muvi' halafu tujipate tukiangalia tamthilia. Itaboaje!
Aisee, wewe si bure, utakuwa geneousCCM lazima ife na kujizika yenyewe kama ifuatavyo:-
Case I
Lazima ife kwa matendo ya mwenyekiti wa chama, katika uongozi wake anagawa madaraka....
-Ameendekeza sana undugu& urafiki, mke, watoto, wajomba, mashangazi, nyumba ndogo nk.
hawana uwezo anawabeba kimadaraka, na hili limejenga chuki kubwa miongoni wa wanaccm wazalendo.
Case II
Lazima ife kwa matendo na mikakati ya hovyo ya viongozi wa CCM
-Uchochezi wa kidini kwa watanzania, sasa wengi wanaifaham mbinu hii ndani ya ccm na hawako radhi tena kuishiriki dhambi hii. CCM hunena tena hadharani bila aibu eti
i-CUF ni cha waislam, wakristo wanatengwa-hakika ni Uwongo (baadhi ya viongozi ndani ya ccm hawakubali)
ii-CHADEMA ni cha wakristu, waislam wanatengwa-hakika ni uwongo (baadhi ya viongozi ndani ya ccm hawakubali)
-Uchochezi wa ukabila kwa watanzania, sasa wengi wanaifaham mbinu hii ndani ya ccm na hawako radhi tena kuishiriki dhambi hii.
i) ccm kwa propaganda ya kishenzi inawababuwa waziwazi wachaga (ndani ya ccm, wachanga wote + wapare nichukizo)
-Uchochezi wa kikanda kwa watanzania, sasa wengi wanaifaham mbinu hii ndani ya ccm na hawako radhi tena kuishiriki dhambi hii.
i- Ni aibu pale UVCCM wanapotamka waziwazi eti kiongozi ajaye hatatoka kanda ya kaskazin??
inamaana waliondani ya ccm na kutoka kaskazin hili ni chukizo kubwa.
Case III
-Matumizi ya vyombo vya dola kukandamiza wanyonge, (badhi ya wanaccm wanaumia kuliwa ndugu zao)
Arusha mauwaji
Iringa mauwaji (Daud Mwangosi)
Morogoro mauwaji ALLY ZONA
Zanzibar mauwaji, wanachama wa CUF
Mbeya,mwanza,Ruvuma, Mara nk kupigwa na kuumizwa watu
Case IV
Viongozi wa CCM kuendekeza utendaji wa kibaguzi (baadhi ya viongozi wa ccm inawaudhi)
i) Bandari kuu mpya kujengwa Bagamoyo, Tanga, Mtwara, Dar watajijuwa na vijibandari vyao.
ii) Gesi kutoka mtwara Bagamoyo, huko ni bandarini sinauhakika kama ndio kuipanua pwani kibiashara na nje
iii) Kila wakati barabara za lami kufumuliwa na kujengwa upya na zingine kuongezwa pwani- kwingine hakuna KITU!
iv) Bei ya petrol nikama ya mafuta ya taa, ni ajabu na kweli, baadhi ya wanaccm wanaumizwa na ujinga huu
Case VI
Ukosefu wa nidham ndani ya ccm, kila mmoja anandevu, baba, mama, watoto na marafiki
Mkuu, hapo ni Mukuye mukuye! Hawaji wale. Pambaaff tumetawala kiungo.jamani jamani pande ile mukuje mukuje hukuu!!!hali ya hewa haiko BYEEE!!!
orodha ya wanachama wa CCM wakiwemo mawaziri, wabunge na makada maarufu wanaodaiwa kukisaliti chama hicho.Hayo yamewekwa hadharani Dar es Salaam jana na aliyekuwa Mwenyekiti na mwanzilishi wa CCJ Taifa, Richard Kiyabo, wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano Idara ya Habari (MAELEZO).
Kiyabo alisambaza kwa waandishi wa habari orodha ya wanachama wa CCM 37 anaodai walishiriki kutoa michango ya fedha kwa ajili ya kufanikisha maandamano ya amani ya CCJ yaliyolenga kupinga uonevu wa msajili wa vyama vya siasa nchini.