kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 324
[/CENTER]
Mbele ya waandishi wa habari, Kiabo aliwataja waasisi hao wa CCJ na fedha walizochangia kwenye mabano kuwa ni pamoja na Dk. Harrison Mwakyembe (sh 300,000),
Samuel Sitta (sh 500,000),
Anne Kilango (sh 400,000),
Nape Nnauye (sh 100,000),
Paul Makonda (sh 100,000) na
James Lembel (sh 400,000) ambao kwa sasa ni miongoni mwa wanachama wa CCM wanaotajwa kuwa na makundi ya urais.
Wengine ni
Amina Katemi (sh 300,000),
Alex Kisumo (sh 300,000),
Baraka Seif (sh 300,000),
Sospeter Banigwa (sh 300,000),
Saleh Omari (sh 300,000),
Sarah Patrick (sh 200,000),
Daniel Mwaijojeli (sh 200,000),
Dk. Ngonyani (sh 300,000),
Elisha Eliya (sh 200,000),
Emanuel Magonja (sh 200,000) na
Asma Watosha (sh 300,000).
Pia wamo,
Kulwa Lulelema (sh 50,000),
Hamadi Maduku (sh 100,000),
Flavian Nkya (sh 100,000),
Gulam kutoka Zanzibar (sh 150,000),
Hamad Ferej (sh 200,000),
Ally Harun (sh 50,000),
Masudi Kangi (sh 100,000),
Gumbo (sh 150,000),
Idd Kiriwe (sh 100,000),
Innocent Makala (sh 200,000),
Jacob Msambya (sh 200,000),
Ishelula (sh 150,000),
Kipute (sh 200,000),
Joseph Kashindye (sh 200,000)
Kamala Ngombe (sh 200,000) na
Daniel Malongo (sh 50,000).
NAPE ANA KADI MBILI?
Cc, Ritz, Nape,