Malumbano CCM: Kiyabo amjibu Makonda

Malumbano CCM: Kiyabo amjibu Makonda

Haki ya nani Lowasa kawabana vibaya CCM, huyo mnae huyo mpaka awatoe ngama.
 
Mzee Philipu Mangula uko wapi mbona kimya? Hebu wakemee hawa wanaojifanya miamba ya kupasho wanakuharibia sifa ya chama chako. Maana katika viongozi wewe ndiye mkongwe.



Yupo anawashughulikia walioingia CC kwa rushwa
 
Kiabo mwenyewe Msaliti,kuchangia upinzani ni kawaida tu,muulize Mkono na Sabodo
 
"Mbele ya waandishi wa habari, Kiabo aliwataja waasisi hao wa CCJ na fedha walizochangia kwenye mabano kuwa ni pamoja na Dk. Harrison Mwakyembe (sh 300,000), Samuel Sitta (sh 500,000), Anne Kilango (sh 400,000), Nape Nnauye (sh 100,000), Paul Makonda (sh 100,000) na James Lembel (sh 400,000) ambao kwa sasa ni miongoni mwa wanachama wa CCM wanaotajwa kuwa na makundi ya urais.

Wengine ni Amina Katemi (sh 300,000), Alex Kisumo (sh 300,000), Baraka Seif (sh 300,000), Sospeter Banigwa (sh 300,000), Saleh Omari (sh 300,000), Sarah Patrick (sh 200,000), Daniel Mwaijojeli (sh 200,000), Dk. Ngonyani (sh 300,000), Elisha Eliya (sh 200,000), Emanuel Magonja (sh 200,000) na Asma Watosha (sh 300,000).

Pia wamo, Kulwa Lulelema (sh 50,000), Hamadi Maduku (sh 100,000), Flavian Nkya (sh 100,000), Gulam kutoka Zanzibar (sh 150,000), Hamad Ferej (sh 200,000), Ally Harun (sh 50,000), Masudi Kangi (sh 100,000), Gumbo (sh 150,000), Idd Kiriwe (sh 100,000), Innocent Makala (sh 200,000), Jacob Msambya (sh 200,000), Ishelula (sh 150,000), Kipute (sh 200,000), Joseph Kashindye (sh 200,000) Kamala Ng’ombe (sh 200,000) na Daniel Malongo (sh 50,000)."


Mbona yeye Kiabo hajajitaja kama alichangia kiasi gani? alikuwaje kiongozi pasipo kuchangia chochote? bila shaka huyu ni mchomoa habari na mchomeka habari hana maana yoyote kajaa unafiki na kuganga njaa!!
 
Dk. Harrison Mwakyembe (sh
300,000), Samuel Sitta (sh 500,000), Anne
Kilango (sh 400,000), Nape Nnauye (sh
100,000), Paul Makonda (sh 100,000) na
James Lembel (sh 400,000)

Sitta caliber ya urais hana wala uwezo wa kuwa Rais amwache EL- raisi ajaye
 
Samuel Sitta : 500,000
Anne Kilango : 400,000
James Lembel : 400,000

Hawa jamaa walikuwa na Chuki na Hasira na CCM ndiyo maana wakachangia zaidi
 
Mbele ya waandishi wa habari, Kiabo aliwataja waasisi hao wa CCJ na fedha walizochangia kwenye mabano kuwa ni pamoja na Dk. Harrison Mwakyembe (sh 300,000), Samuel Sitta (sh 500,000), Anne Kilango (sh 400,000), Nape Nnauye (sh 100,000), Paul Makonda (sh 100,000) na James Lembel (sh 400,000) ambao kwa sasa ni miongoni mwa wanachama wa CCM wanaotajwa kuwa na makundi ya urais.

Wengine ni Amina Katemi (sh 300,000), Alex Kisumo (sh 300,000), Baraka Seif (sh 300,000), Sospeter Banigwa (sh 300,000), Saleh Omari (sh 300,000), Sarah Patrick (sh 200,000), Daniel Mwaijojeli (sh 200,000), Dk. Ngonyani (sh 300,000), Elisha Eliya (sh 200,000), Emanuel Magonja (sh 200,000) na Asma Watosha (sh 300,000).

Pia wamo, Kulwa Lulelema (sh 50,000), Hamadi Maduku (sh 100,000), Flavian Nkya (sh 100,000), Gulam kutoka Zanzibar (sh 150,000), Hamad Ferej (sh 200,000), Ally Harun (sh 50,000), Masudi Kangi (sh 100,000), Gumbo (sh 150,000), Idd Kiriwe (sh 100,000), Innocent Makala (sh 200,000), Jacob Msambya (sh 200,000), Ishelula (sh 150,000), Kipute (sh 200,000), Joseph Kashindye (sh 200,000) Kamala Ng’ombe (sh 200,000) na Daniel Malongo (sh 50,000).

Jamani kwa wanaofahamu hapo kwenye RED ni yule Joseph Kashindye aliyegombe Ubunge kule Igunga kupitia CHADEMA katika uchaguzi mdogo akadhurumiwa na CCM?
 
Ccm watu wazima na wakongwe hili linamalizwa mapema... Ila kijana Makonda usituchafulie hali ya hewa. Shame on you.... Mhamasishaji wa nn wewe? Peleka upuuzi wako huko

Punguza munkari Mkuu,lala vizuri hapo Kitandani ili sindano ikuingie vizuri. Leo mnakana cheo cha huyo mlamba viatu Makonda,si hiko cheo mlimpa wenyewe huko Magambani au unataka kusema alijipachika mwenyewe na kama ni hivyo mbona hamumchukulii hatua stahiki. CCM sasa ni kama wanaKondoo wasiokuwa na Mchungaji au Meli isiyokuwa na Nahodha.
 
....wazeee Ritz na bwana maliwato, oooh no MSALANI njoooni huku kuchoche kuni kwenye mafiga,nnooo kwenye moto....hahhhaaaaaaaaaa yamekwisha magamba....
 
Last edited by a moderator:
Hizi ni salam tosha kwa wasaliti waliyokimbilia CCM kwa njaa zao wakizani ni mahali salama pakujificha sasa kichaka kinawaka moto na hakuna anae weza kuuzima sijui watakimbilia wapi na mukunga walishamtukana wakati bado wanazaa.
 
Makonda (kundi la akina Sitta na Nape wao) vs Kiabo (aliyachwa katika mataa na akina sita katika CCJ) +Guninita + Mwenyekiti uvccm + Wenyeviti wa CCM sasilimia 95 + Wakuu wa wilaya asilimia 80 + wakuu wa mikoa asilimia 70 + wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM asilimia 80 + viongozi wakuu wa jumuia 3 za CCM (Kundi la Lowasa), Mechi hii inaonekana kuwa itakuwa ya upande mmoja Nape na Makonda na wenzenu kwa nini msiweke mpira kwapani?

Mkuu Mpira sio wao hawawezi kuuweka kwapani, watakachofanya ni kususia mchezo wakijifanya refa(JK) ni wa timu pinzani.....mpaka 2015 hawa watu lazima watoane macho.
 
....wazeee Ritz na bwana maliwato, oooh no MSALANI njoooni huku kuchoche kuni kwenye mafiga,nnooo kwenye moto....hahhhaaaaaaaaaa yamekwisha magamba....

Hapa ndipo napoyakaubali mavijana ya maCCM a.k.a Umoja wa Viwavi CCM (UVCCM) Kiongozi wao akishambuliwa huwa hayachangii matokeo yake Thread inakufa Kifo cha Mende.

Ingekuwa ni Kiongozi wa CDM hapa halafu Mada ikaletwa na maCCM ungeona Makamanda tunavyoitana majina ya Ajabu ajabu huku Ritz akichochea kuni

Hongereni Mavijana ya maCCM kwa Utulivu wenu na hii Thread itakufa kifo cha Mende na Chama chenu Kitabaki Salama

cc Mungi crashwire e.t.c
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom