Malumbano CCM: Kiyabo amjibu Makonda

Malumbano CCM: Kiyabo amjibu Makonda

Kuna baadhi ya UVCCM wanadai Mwenyekiti wao - Taifa ameridhia malumbano, ili wapinzani waamini ya kwamba CCM ni dhaifu. Hivyo, kupunguza mashambulizi ya upinzani dhidi ya ngome yao, nao kuweka mambo sawa.
 
Wacha Chadema waheme kidogo

waheme! ulitaka kusema wapumue. unafikiri ccm wenyewe wanavyowahemesha cdm na wao je? una habari ukitaka kudeal na mtu lazima na wewe uumie? chukulia tu unavyomchapa mwanao mdogo anavyozunguka na kujipinda, ukimaliza kumchapa unahema kweli na pia kuna uwezekano baadhi ya fimbo umejipiga mwenyewe kadri dogo alivyokuwa akijipinda kukwepa.
ndio ccm sasa, hawalali usiku kucha wakiwaza mbinu za kuwasulubu cdm, hawana peace of mind kila wakati wakiwaza leo cdm wamefanya hiki kitawatoa kwao wao ni tabu. kumtesa mwenzio usinishawishi kuwa kuna raha, unateseka as well, tena unaweza kuzidi, maana wakati mwingine kuna gharama unazoziincur believe me, sema tu kama wewe ni zuzu huwezi zifikiria.
 
Team zima yao hawatii mguu huku!

Mkuu Mani kweli leo sijui imekuwa vipi maana kabla sijajiunga huku nilikuwa napitia sana post nikiwa kama visitors nikawa naona porojo za Pro SSM. Kwa hiyo nilipoamua kujiunga majuzi nikasema ni mimi pamoja na ugeni ni lazima nitie mguu huku kwenye jukwaa mama la Siasa niweze pia kubadilishana mawazo na kina Ritz, Rejao, Chama, ZeMarcopolo, Chris Lukosi
 
leo magamba hawakanyagi humu..
Hakika wako likizo mkuu Crashwise. Si unajua tena tpmazembe ameshatupa hali halisi ya ukwasi kwa sisiemu?? Akaunti zao kau kau kabisa kwa hiyo buku 7 ya Lumumba naona hawajalipa muda kwa hiyo wafuasi wao wamegoma kwa muda eti wanasubiri walipwe kwanza madeni ya buku 7!!! Te he te he!!! Sijui CDM watatoa lini namba ya simu turushe michango yetu kule!!!! Mbona napataga bia kidogo si bora nifunge bia kwa wiki moja kwa ajili ya CDM??? Ukombozi wa nchii hii.
 
waheme! ulitaka kusema wapumue. unafikiri ccm wenyewe wanavyowahemesha cdm na wao je? una habari ukitaka kudeal na mtu lazima na wewe uumie? chukulia tu unavyomchapa mwanao mdogo anavyozunguka na kujipinda, ukimaliza kumchapa unahema kweli na pia kuna uwezekano baadhi ya fimbo umejipiga mwenyewe kadri dogo alivyokuwa akijipinda kukwepa.
ndio ccm sasa, hawalali usiku kucha wakiwaza mbinu za kuwasulubu cdm, hawana peace of mind kila wakati wakiwaza leo cdm wamefanya hiki kitawatoa kwao wao ni tabu. kumtesa mwenzio usinishawishi kuwa kuna raha, unateseka as well, tena unaweza kuzidi, maana wakati mwingine kuna gharama unazoziincur believe me, sema tu kama wewe ni zuzu huwezi zifikiria.

ulitaka kusemaje?
 
jamani jamani pande ile mukuje mukuje hukuu!!!hali ya hewa haiko BYEEE!!!
 
CC; CHOONI,
Oooops Sorry, I meant MSALANI

Ha ha ha ha nimecheka sana!!! Halafu msalani aki quote post ya mfuasi au mshabiki wa kule kwa makamanda basi huwa ni lazima aporomeshe matamshi yenye harufu ya msalani.
 
Ha ha ha ha nimecheka sana!!! Halafu msalani aki quote post ya mfuasi au mshabiki wa kule kwa makamanda basi huwa ni lazima aporomeshe matamshi yenye harufu ya msalani.

Yeah,
Wajua kinachopatikana ndani ya msalani, nahisi ndio kinachopatikana ndani ya ubongo wa jamaa!!
 
Ccm watu wazima na wakongwe hili linamalizwa mapema... Ila kijana Makonda usituchafulie hali ya hewa. Shame on you.... Mhamasishaji wa nn wewe? Peleka upuuzi wako huko
 
Ha ndio kina nani mbona hawafahamiki ktk siasa za ccm hapa tz

Mnayemjua nyie ni Zitto (RIP-Politically). Sasa mwombeni aje awasaidie kwa mbinu iliyomuwezesha "kushinda" vita yake. Au andaeni Wahuni wa kuandamana na mabango. Au Kinyozi hajinyoi?
 
Summary of Events
Nape, Kinana & Company (Team MEMBE??); "Rais Kateua Mawaziri Mizigo"

John Guninita (Team LOWASSA); "We Nape & Co. huna ubavu wa kumchagulia Rais Mawaziri"

Paul Makonda (Team ????); "Lowassa wacha kutuma watu (Kina Guninita) ili wawaseme vibaya Sekretariet na Viongozi wa Dini wakusaidie kupiga kampeni"

Richard Kiabo (Team LOWASSA); "Kwanza wewe Makonda na wenzio ndio mlioanzisha na kuchangia CCJ, na kiasi hiki ndicho mlichotoa, inafaa mshughulikiwe na Chama kwa kuendelea kushikilia kadi za CCJ"

John Malecela (Team ???); "Namuunga Mkono Paul Makonda, Nape na Kinana. Sekretariet imchukulie hatua Lowassa, na kama hajaanza mbio za Urais, hizi T-shirt za FRIENDS OF EDWARD LOWASSA za nini??"


Bakwata (Team LOWASSA??): "Makonda wacha kuwashirikisha waislamu kwenye Matatizo yenu, Pia usituchagulie marafiki"
 
kiabo angeanza kumshitaki Mustapha Sabodo kwanza kwani licha ya kuwapa mamilioni wapinzani anamtukana mpaka mwenye kiti,
 
CCM kila mmoja ni kibaka wa kutupwa na hawaaminiani kabisa,tokea siku zile JK anawaambia hapa walipo mtu anaogopa kuiacha grasi yake chini basi ujue kibao kimebadilika na nashangaa sioni magazeti yakiandika
"BUNDI ATUA CCM" kama walivyozoea kuandika pindi inapotokea sintofahamu upande wa CDM,nyinyi waandishi mbona hapa hatumwoni huyo bundi wenu ama bahasha zimewaelemea?
 
Back
Top Bottom