MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,549
- 24,159
CCM ni ukoo wa Panya..
Wacha waparuane huko.
Wacha waparuane huko.
Hakujua kama anafurahisha genge fulani lenye maslahi yake, na sio lina uchangu na nchi hii.!Nape hana akili
hakumuona Kilango au wengine ambao wako cool!!
kosa lake lilikuwa so obvious na la kitoto kabisa kutaka sifa kwa watu na hautimizi lengo la kumuondoa muhusika
vita ingine unajifanya umepigwa huku unajipanga kumuondoa mtu kiaina
kwani wakati aliposema kuna mawaziri mzigo alikuwa chama gani ?Kutoka kwa Malisa Godlisten
Kwanini Nape anaweweseka? Naona tangu ametimuliwa uwaziri hayupo sawa kichwani. Namshauri ni vema angekaa kimya kuliko kuongea ongea vitu vinavyozidi kumpunguzia credits. Nape ameanza kuilaumu na kuikosoa serikali kwa mambo ambayo yalifanyika yeye akiwa serikalini.
Kwa mfano suala hili la wananchi kunywa maji taka, Nape anailaumu serikali leo, kana kwamba wameanza kunywa maji haya baada ya Nape kufukuzwa uwaziri. Haya maji wananchi wamekunywa kabla Nape hajawa waziri na hata akiwa waziri. Lakini jambo hili halikumgusa akiwa waziri, leo amefukuzwa ndio anajifanya kuguswa?
Mi nadhani Nape alikua ana nafasi nzuri ya kuwasaidia watu hawa akiwa waziri kuliko sasa akiwa Mbunge. Hizi kelele anazopiga kwa sasa angepiga akiwa Waziri pengine wananchi hawa wangesaidika.
Jambo jingine ni kuhusu miezi 38 anayoitaja Nape kuwa aliishi maisha magumu. Intention yake ni kutafuta sympathy?? Kama ni hivyo amekosea sana. Wa kuhurumiwa si yeye aliyeishi hayo maisha kwa miezi 38 tu, bali wa kuhurumiwa ni wananchi walioishi hayo maisha kwa kipindi chote tangu kuzaliwa.
Pia Nape hapaswi kulalamika kwa kuwa alikua anatekeleza sehemu ya JD yake ya ajira kama Katibu Uenezi. Mimi nikienda vijijini kikazi siwezi kulalamika kwa sababu natekeleza wajibu wangu. Sasa Nape analia nini wakati kwenda kwake huko vijijini alilipwa mshahara, posho, mafuta ya gari, dereva, na marupurupu mengine. Kwanini analia kwa jambo ambalo lilikua sehemu ya ajira yake? Angeenda kwa kujitolea ningeona mantiki ya yeye kulalamika. Lakini kama alikua anatekeleza sehemu ya ajira yake, kulalamika itz non sense.
Mwisho nimshauri Nape AKAE KIMYA kwa sababu hana locus ya kuilaumu CCM wakati bado yupo humo. Kama anaona hawezi kukaa kimya basi ajiondoe CCM ajiunge na chama kingine ili apate moral authority ya kuipiga CCM. Huwezi kulalamika kuugua kipindupindu wakati unaishi karibu na dampo na hutaki kuhama. So its either Nape aondoke CCM, au abaki lakini AKAE KIMYA MILELE.!
Nimeipenda hii!Binafsi sijawahi kumwona Nape kama mtu mwenye akili nzuri, siku zote yeye ni mtoto
pointWa kuhurumiwa si yeye aliyeishi hayo maisha kwa miezi 38 tu, bali wa kuhurumiwa ni wananchi walioishi hayo maisha kwa kipindi chote tangu kuzaliwa.
pointKwanini Nape anaweweseka? Naona tangu ametimuliwa uwaziri hayupo sawa kichwani. Namshauri ni vema angekaa kimya kuliko kuongea ongea vitu vinavyozidi kumpunguzia credits. Nape ameanza kuilaumu na kuikosoa serikali kwa mambo ambayo yalifanyika yeye akiwa serikalini.
mkuu nime like lkn nikaona haitoshi...jamaa analia kwassbbu ya 38days?????ss tunaliaga mpaka tunaona ni haki yetu kuteswa na polisi,kulala njaa , kulala nje kwenye mabaki ya nyumba zetu zilizobomolewa , kwenda shule uniform imechanika kwenye tako...inasikikitisha sanaa kweli ccm madaraka ya kulevyaJambo jingine ni kuhusu miezi 38 anayoitaja Nape kuwa aliishi maisha magumu. Intention yake ni kutafuta sympathy?? Kama ni hivyo amekosea sana. Wa kuhurumiwa si yeye aliyeishi hayo maisha kwa miezi 38 tu, bali wa kuhurumiwa ni wananchi walioishi hayo maisha kwa kipindi chote tangu kuzaliw
Wabongo...mna"mchenjia" tena, wakati mlimjaza upepo wa kutosha asigane na wenzake!Jambo jingine ni kuhusu miezi 38 anayoitaja Nape kuwa aliishi maisha magumu. Intention yake ni kutafuta sympathy?? Kama ni hivyo amekosea sana. Wa kuhurumiwa si yeye aliyeishi hayo maisha kwa miezi 38 tu, bali wa kuhurumiwa ni wananchi walioishi hayo maisha kwa kipindi chote tangu kuzaliw
na akiendelea kuandika andika chuki zake kwenye social media ndo atachenjiwa mpaka ashangae,wenzake waliokaa kimya ni wajinga eeeh?yy ndo anajifanya mjuaji eeeh,washauri wake muelezeni yy bado kijana mdogo sana bora akae kimya.Wabongo...mna"mchenjia" tena, wakati mlimjaza upepo wa kutosha asigane na wenzake!
ANAYEVURUGA NCHI NI BASHITE, AKITOKA MAENEO MENGI YATATULIA.
Kutoka kwa Malisa Godlisten
Kwanini Nape anaweweseka? Naona tangu ametimuliwa uwaziri hayupo sawa kichwani. Namshauri ni vema angekaa kimya kuliko kuongea ongea vitu vinavyozidi kumpunguzia credits. Nape ameanza kuilaumu na kuikosoa serikali kwa mambo ambayo yalifanyika yeye akiwa serikalini.
Kwa mfano suala hili la wananchi kunywa maji taka, Nape anailaumu serikali leo, kana kwamba wameanza kunywa maji haya baada ya Nape kufukuzwa uwaziri. Haya maji wananchi wamekunywa kabla Nape hajawa waziri na hata akiwa waziri. Lakini jambo hili halikumgusa akiwa waziri, leo amefukuzwa ndio anajifanya kuguswa?
Mi nadhani Nape alikua ana nafasi nzuri ya kuwasaidia watu hawa akiwa waziri kuliko sasa akiwa Mbunge. Hizi kelele anazopiga kwa sasa angepiga akiwa Waziri pengine wananchi hawa wangesaidika.
Jambo jingine ni kuhusu miezi 38 anayoitaja Nape kuwa aliishi maisha magumu. Intention yake ni kutafuta sympathy?? Kama ni hivyo amekosea sana. Wa kuhurumiwa si yeye aliyeishi hayo maisha kwa miezi 38 tu, bali wa kuhurumiwa ni wananchi walioishi hayo maisha kwa kipindi chote tangu kuzaliwa.
Pia Nape hapaswi kulalamika kwa kuwa alikua anatekeleza sehemu ya JD yake ya ajira kama Katibu Uenezi. Mimi nikienda vijijini kikazi siwezi kulalamika kwa sababu natekeleza wajibu wangu. Sasa Nape analia nini wakati kwenda kwake huko vijijini alilipwa mshahara, posho, mafuta ya gari, dereva, na marupurupu mengine. Kwanini analia kwa jambo ambalo lilikua sehemu ya ajira yake? Angeenda kwa kujitolea ningeona mantiki ya yeye kulalamika. Lakini kama alikua anatekeleza sehemu ya ajira yake, kulalamika itz non sense.
Mwisho nimshauri Nape AKAE KIMYA kwa sababu hana locus ya kuilaumu CCM wakati bado yupo humo. Kama anaona hawezi kukaa kimya basi ajiondoe CCM ajiunge na chama kingine ili apate moral authority ya kuipiga CCM. Huwezi kulalamika kuugua kipindupindu wakati unaishi karibu na dampo na hutaki kuhama. So its either Nape aondoke CCM, au abaki lakini AKAE KIMYA MILELE.!
(Red) Mimi simona akiendelea kuandika andika chuki zake kwenye social media ndo atachenjiwa mpaka ashangae,wenzake waliokaa kimya ni wajinga eeeh?yy ndo anajifanya mjuaji eeeh,washauri wake muelezeni yy bado kijana mdogo sana bora akae kimya.