Naweza ila usinipime kwa hii madaAhsante Billie, unaweza nitendea hata robo ya upendo wa mtoa mada lakini??
Nimekaa na fuko langu la sukari hapa ..ngoja tuone kama sio chai yaweza kuwa kahawaduh siyo chai kweli
Hii chai umeshawahi kunywa wewe !!?Tena ni ile chai ya kukaanga sukari.nahisi hovyo
Nimekunywa sana aise..mwezi uliopita nimekunywa piaHii chai umeshawahi kunywa wewe !!?
Ila watuHa ha ha ha
Nami nimeona hii kitu
Daaa
Duuhh nakugawaNimekunywa sana aise..mwezi uliopita nimekunywa pia
Naomba unigawe fasta..😅😅kuna watu wanasubiri wanichukue🤣🤣Duuhh nakugawa
Haha..Hii story nayo mmetumiana Whatsapp?
Mbona kimya!
Haha..
Nadhani maji yanazidi unga walaqhi', na nilivyomtetea hivi, hawezi kuniangusha kiasi hiki.!
Ndio mmesha achwa feriHaha..
Nadhani maji yanazidi unga walaqhi', na nilivyomtetea hivi, hawezi kuniangusha kiasi hiki.!
geeez !!!!Naomba unigawe fasta..kuna watu wanasubiri wanichukue
Just kidding...
Nisaidie kumuelewesha basiAisee hahaa