Mlipishana darasa, Ila Mungu aliwasaidia baada ya kumaliza std 7 mkaenda shule mojaa...
Mpka sasa hivi ndugu inafanyika.mwezi uliopita nilienda mtembelea ndgu yangu mashambani huko nikakaanga sukari 😅😅😅fresh yan🤣🤣Ahahahah.Umenikumbusha mbali sana.Akina mama wa zaman walikua na maarifa mengi sana.
Hapo majani ya chai yameisha basi inakaangwa sukari kidogo.
Ahahahahahah
Alikuwa amepoteza wazazi wake yeye na rafiki yake walikuwa yatima na hapohapo alikuwa anaomba pesa kwa baba yake
Umenikumbusha pia kuna majani fulani ya porini pia tulikuwa tunatumia kama majani ya chai.... siku moja majani yameisha nikaenda kuyachuma nikanywa chai nyingine nikabakisha kwenye sufuria, dada yangu akaikuta akaniuliza haya majani umechemsha ya nini nikamweleza matumizi yake hakuamini kaenda kumuuliza rafiki yake eti kweli haya ni majani ya chai? Akaambiwa ni majani ndio kwani we hujawahi kuyatumia? Alikuwa ameshafikiria makubwa sana
Ahahaha..Na bila shaka ikakuboa chai ndio maana umeitaja hapa kwa kuipondea.Ahahahah.Ofcz huwa ina ka taste flan boring pamoja na harufu yakeMpka sasa hivi ndugu inafanyika.mwezi uliopita nilienda mtembelea ndgu yangu mashambani huko nikakaanga sukari 😅😅😅fresh yan🤣🤣
Siwezi kuiponda,sijawahi kuiponda na sitoiponda aise...nimeitumia kichizi sitimbi huko miaka hiiiyooo.Ahahaha..Na bila shaka ikakuboa chai ndio maana umeitaja hapa kwa kuipondea.Ahahahah.Ofcz huwa ina ka taste flan boring pamoja na harufu yake
YaaniAlihisi umechoropoa
Ha ha ha ha
kazi ipo, tunaopenda simulizi sisi tutanyweshwa hadi chai zilizotiwa chumviHa ha ha ha
Nami nimeona hii kitu
Daaa
mkuu una kumbukumbu balaaWajua yy ndio alikusoma na kujua kuwa ww unaweza fanya na ukaacha ushahid.
Si unakumbuka ule utopolo ulofanyaga enz ile alipofuata mshahara wilayan.Huku nyuma we ukala kumbikumbi nusu ufe sasa akahis huyu atakua kashayakoroga kama kawaida yake.
Ahahahahah
Akiendelea nambiePart2 leta
Bado anatungaAkiendelea nambie