Malipo ya wema wangu

Malipo ya wema wangu

Pole kwa yaliyokukuta na hongera sana kwa moyo na upendo huo wa kipekee, ambao naamini hawa mabaharia wanaonipiga sound hapa kuwa wananipenda hawawezi nitendea hata robo yake.!!
Ashukuriwe MUNGU aliyenifanya niwe hivyo ndugu maana kwa uwezo Wangu tu nisingeweza. Hao mabaharia wanaweza kuwa na upendo zaidi ya Mimi maana moyo wa mtu no Siri huwezi jua MUNGU amewajalia vipi.
 
ulipoishia ni sawa na unakaribia kupga bao then unakatiliwa dah endelea mkuu.
Nitaendelea Leo usiku mkuu Mimi ni mvivu wa kuandika nafikiri ukifuatilia vizuri utatambua hata makosa mengi ya kiuandishi. Tuwe pamoja tu.
 
tunasubiri Part II

Na hii ni kawaida ya bongo muvie
Umenikumbusha kitu, Kuna jamaa alikuwa anaumwa aliomba msaada wa matibu kwa ndugu na jamaa hakuweza kujitokeza na kumsaidia, siku amefariki wale wale walioshinda kumsaidia wakajitokeza kutoa Rambirambi ndefu ambazo zingetolewa enzi za uhai wake angeweza kutibiwa na kupona.

Mimi ni mvivu wa kuandika lakini hii ni true story sio bongo muvi. Nikiruhusiwa nitaweka na ushahidi wote hapa hapa.
 
Pole kwa yaliyokukuta na hongera sana kwa moyo na upendo huo wa kipekee, ambao naamini hawa mabaharia wanaonipiga sound hapa kuwa wananipenda hawawezi nitendea hata robo yake.!! 😅
Kasoro mmoja tu kwenye hiyo list.
 
Tena ni ile chai ya kukaanga sukari.nahisi hovyo😅😅
Ahahahah.Umenikumbusha mbali sana.Akina mama wa zaman walikua na maarifa mengi sana.
Hapo majani ya chai yameisha basi inakaangwa sukari kidogo.
Ahahahahahah
 
Back
Top Bottom