Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,874
Tumeamia pmHii story nayo mmetumiana Whatsapp?
Mbona kimya!
Tumeamia pmHii story nayo mmetumiana Whatsapp?
Mbona kimya!
Tumeamia pm
Ata mm sjaelewa apo...wote walikuwa marafiki mayatima afu mmoja akapewa pesa na baba ake..Sijaelewa ulikuws yatima na Bado ulikuwa wapewa pesa na baba yako🤔..ni Mimi sijaelewa au ni hii hangover ya usingizi..!!
halafu anasema yeye ni yatima wakati huo huo anasema pesa akipewa na baba yake nyingine anatumia na rafiki yake.Mlipishana darasa, Ila Mungu aliwasaidia baada ya kumaliza std 7 mkaenda shule mojaa...
Alikuwa amepoteza wazazi wake yeye na rafiki yake walikuwa yatima na hapohapo alikuwa anaomba pesa kwa baba yake
Sijaelewa ulikuws yatima na Bado ulikuwa wapewa pesa na baba yako..ni Mimi sijaelewa au ni hii hangover ya usingizi..!!