prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Mkataba kwa makaran wa sensa walioingia na NBS ulikuwa ukiwataka kupewa posho ya 380, 000/= lakini kwa Temeke, mbagala charambe, Tandika ila wametoa 140,000/= badala ya 380,000/= kwa dodoso refu na dodoso fupi wametoa 70, 000/= badala ya 245000. Je kwenye kata yako wewe karan wa dodoso refu na wewe karan wa dodoso fupi umepewa sh. Ngap?
Kwa hali h ya hela kutolewa kwa magumash ufanis wa kaz h itakuaje kama makaran wameanza kwa kukopwa?au makaran wavumililie maana uzalendo mbele.
Kwa hali h ya hela kutolewa kwa magumash ufanis wa kaz h itakuaje kama makaran wameanza kwa kukopwa?au makaran wavumililie maana uzalendo mbele.