Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Good Afternoon jamiiforums.
Bodi ya mikopo ya wanafunzi (HESLB) walishindwaje kukusanya 15% kutoka kwa makarani wa sensa?
Jumla ya pesa walizolipwa makarani wa sensa ni takribani 1,200,00/= ambayo 15% yake ni 180,000/=
Sio kila karani wa sensa ni graduate na mnufaika wa bodi ya mikopo, lakini kutokana na changamoto ya ajira kwa vijana nina uhakika wadaiwa wa HESLB walikuwamo tena wengi tu miongoni mwa makari wa sensa.
SWALI: Kwanini HESLB walishindwa kushirikiana na ofisi ya taifa ya takwimu (NBS) kuweza kukusanya hizo 180,000/= kutoka kwa makari wa sensa?
Bodi ya mikopo ya wanafunzi (HESLB) walishindwaje kukusanya 15% kutoka kwa makarani wa sensa?
Jumla ya pesa walizolipwa makarani wa sensa ni takribani 1,200,00/= ambayo 15% yake ni 180,000/=
Sio kila karani wa sensa ni graduate na mnufaika wa bodi ya mikopo, lakini kutokana na changamoto ya ajira kwa vijana nina uhakika wadaiwa wa HESLB walikuwamo tena wengi tu miongoni mwa makari wa sensa.
SWALI: Kwanini HESLB walishindwa kushirikiana na ofisi ya taifa ya takwimu (NBS) kuweza kukusanya hizo 180,000/= kutoka kwa makari wa sensa?