Mvutano wa jinsi ya kupiga kura, na mawazo mazuri ya kutaka kura ziwe za siri ili kutunza mahusiano na baada ya hapo, tumeona kura ya wazi inavyoanza kuleta madhara mwanasheria wa Zanzibar out, je angelipiga kura ya siri yangetokea hayo jamani? ikumbukwe japo kulikuwa na hiari ya kupiga kura ya siri au ya wazi lakini inaonekana ni shindikizo kwa wajumbe wa ccm wote kupiga kura ya wazi. na ndo maana mwanasheria mkuu ilimlazimu kupiga kura ya wazi japo kwa tofauti na matarajio ya kidumu chama. Democrasia i wapi wapendwa?