Malipo ni elfu50 kwa kichwa

TaiJike

JF-Expert Member
Dec 14, 2011
1,483
667
Kuna jamaa mmoja alikuwa anataka kwenda ktk kisiwa cha maraha na mazungumzo yalikuwa hivi:-

Jamaa: Naweza kupata nafasi ya usafiri
Mhudumu: Ndio nafasi ipo
Jamaa: Malipo ni bei geni
Mhudumu: Ni shilingi elf50 kwa kichwa
Jamaa: Na kama nikitoa kichwa je itakuwa sh. ngapi?
Mhudumu: EEeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!?????????
 
Back
Top Bottom