TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 667
Kuna jamaa mmoja alikuwa anataka kwenda ktk kisiwa cha maraha na mazungumzo yalikuwa hivi:-
Jamaa: Naweza kupata nafasi ya usafiri
Mhudumu: Ndio nafasi ipo
Jamaa: Malipo ni bei geni
Mhudumu: Ni shilingi elf50 kwa kichwa
Jamaa: Na kama nikitoa kichwa je itakuwa sh. ngapi?
Mhudumu: EEeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!?????????
Jamaa: Naweza kupata nafasi ya usafiri
Mhudumu: Ndio nafasi ipo
Jamaa: Malipo ni bei geni
Mhudumu: Ni shilingi elf50 kwa kichwa
Jamaa: Na kama nikitoa kichwa je itakuwa sh. ngapi?
Mhudumu: EEeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!?????????