Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,560
Ahaaa nenda na private choper
Muleba sehemu gani? Watu wa muleba hatuna majivuno bana.Hahaa we utakuwa wa kutokea kure kwetu muleba maana si kwa mbwbwe hizi
Wewe ni hasara kwa mumeo kama unaye= Kuripoti
Badilisha bichwa lako la
Nyie mnajipigia FIA na MUTWISHI bila tabuMuleba sehemu gani? Watu wa muleba hatuna majivuno bana.
Lugha mpya hiiNyie mnajipigia FIA na MUTWISHI bila tabu
Wewe ni hasara kwa mumeo kama unaye
Huna akili kabisa wewe kindururuWewe ni faida kwa mumeo, hongera.
Habari wana JF! Nimesikia kuwa ukisharipoti Halmashauri unarejeshewa gharama zote za usafiri kutoka kwako hadi Halmashauri.
SWALI LANGU: Ikiwa nimetumia usafiri wa gharama kubwa kama ndege ,nitarejeshewa pesa ya nauli niotumia au?
NOTE: tuna_assume kuna njia zingine za usafiri wa bei rahisi kama basi.
mna mikwara walimu wa ajira mpya ati ndege nikupe siri kwenye hii fani lazima uwe mchumi