Malinzi kumbe jeuri ,, tazama hii tweet

Malinzi kumbe jeuri ,, tazama hii tweet

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
ImageUploadedByJamiiForums1432961271.726958.jpg

Watanzania kazi tunayo, tutamkumbuka tenga"
 
Kwa lipi? Ulitaka aseme nini! Kuwa kaenda chagua paroko au? Na yuko kwa maslahi yako au?! Utamkumbuka Tenga kwa lipi baya la malinzi?! Think umeathirika kiasi kikubwa na habari za udaku.
 
Ujeuriwake uko.wapi ajakutukana kama kusema katoa ya moyoni

Bybclass teacher alikuwa nashda.kidogo
 
kwa lipi? Ulitaka aseme nini! Kuwa kaenda chagua paroko au? Na yuko kwa maslahi yako au?! Utamkumbuka tenga kwa lipi baya la malinzi?! Think umeathirika kiasi kikubwa na habari za udaku.

vyuo vya nursery n shdaa
 
Malinzi ana ujeuri wa walevi wa lubisi..huyu hapiti uchaguzi ujao mwache ajibinue binue tu dawaxyake inakuja
 
Malinzi ana ujeuri wa walevi wa lubisi..huyu hapiti uchaguzi ujao mwache ajibinue binue tu dawaxyake inakuja

Lubisi na Malinzi wapi na wapi au unataka kuwatukana wanaotumia Lubisi. Ukitukanwa hawa Mods wanakimbilia kumfungia mtu!
 
Name calling iko wapi hapo wakati nime wa cc wana JF wawili tofauti, hao wote ni shemeji zangu na mmoja ni mpenzi wa mpira na mmoja ni muuwaji wa mpira wa Tanzania.

Ha ha ha ha:banghead::banghead:
 
Back
Top Bottom