Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
..........na maslahi ya Wahaya ! :horn:
wewe ndio umeongea cha maana, kauli alizotoa huyu jamal ni kumsema price, prince ni kiongozi wa soka sio kiongozi wa diniHakupaswa kusema hayo, hakupaswa kuingiza udini ... Kwa nafasi yake !!
sijaona jeuri hapo. tunapenda kupika maneno na kuingiza chuki tu. TUBADILIKE. kwani uhuru wa kuongea umefutwa hapa bongo! ndo mana tumekuwa waoga sana. shit!!!
....na Baba paroko ni nani? Naye kasemwawewe ndio umeongea cha maana, kauli alizotoa huyu jamal ni kumsema price, prince ni kiongozi wa soka sio kiongozi wa dini
kila mtu na taarabu yake na siyo mbaya....na Baba paroko ni nani? Naye kasemwa