Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
namsikiliza naibu waziri malima anakishukuru chama kitukufu cha ccm kwa kumchagua tena na anawaomba wabunge wapige makofi kwa kauli hiyo.
Duh, kweli ccm ni tukufu na ndio maana watakatifu wanaokiongoza ni type ya kina malima.
Duh, kweli ccm ni tukufu na ndio maana watakatifu wanaokiongoza ni type ya kina malima.