NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Leo nimesikia redioni (clouds)kipindi cha magazeti kuwa malimu self amekabidhiwa ofisi na kazi zake zitakuwa
1.kuhangaikia ukimwi,
2.walemavu
3.mazingira
4. Mihadarati
hii yanne nimeiona ni mtego kwa self. Maana hii kazi unadeal na watu hatari sana. Mtoto amina alijaribu kujitoa mhanga kushughulikia hili swala muda wake wa kuishi ukawa mfupi sana na hadi leo sijasikia mtu akijitolea kushughulikia au kuongelea hili swala.
Hivi hawa wanania njema na self kweli ?
1.kuhangaikia ukimwi,
2.walemavu
3.mazingira
4. Mihadarati
hii yanne nimeiona ni mtego kwa self. Maana hii kazi unadeal na watu hatari sana. Mtoto amina alijaribu kujitoa mhanga kushughulikia hili swala muda wake wa kuishi ukawa mfupi sana na hadi leo sijasikia mtu akijitolea kushughulikia au kuongelea hili swala.
Hivi hawa wanania njema na self kweli ?