Malim self na madawa ya kulevya

NATA

JF-Expert Member
May 10, 2007
4,492
1,311
Leo nimesikia redioni (clouds)kipindi cha magazeti kuwa malimu self amekabidhiwa ofisi na kazi zake zitakuwa
1.kuhangaikia ukimwi,
2.walemavu
3.mazingira
4. Mihadarati

hii yanne nimeiona ni mtego kwa self. Maana hii kazi unadeal na watu hatari sana. Mtoto amina alijaribu kujitoa mhanga kushughulikia hili swala muda wake wa kuishi ukawa mfupi sana na hadi leo sijasikia mtu akijitolea kushughulikia au kuongelea hili swala.
Hivi hawa wanania njema na self kweli ?
 
Leo nimesikia redioni (clouds)kipindi cha magazeti kuwa malimu self amekabidhiwa ofisi na kazi zake zitakuwa
1.kuhangaikia ukimwi,
2.walemavu
3.mazingira
4. Mihadarati

hii yanne nimeiona ni mtego kwa self. Maana hii kazi unadeal na watu hatari sana. Mtoto amina alijaribu kujitoa mhanga kushughulikia hili swala muda wake wa kuishi ukawa mfupi sana na hadi leo sijasikia mtu akijitolea kushughulikia au kuongelea hili swala.
Hivi hawa wanania njema na self kweli ?

Seif siyo amina!!Seif ni makamo wa wakwanza rais na siyo mbunge hivyo kukutana na seif ipo shughuli!!ogopa mtu anayetembea na motor cade kwani juzi tu alienda buguruni wazee wa cuf eti wanataka kumkumbatia walipigwa vikumbo na usalama mpaka wakaona soo!!
 
...... Mtoto amina alijaribu kujitoa mhanga kushughulikia hili swala muda wake wa kuishi ukawa mfupi sana na hadi leo sijasikia mtu akijitolea kushughulikia au kuongelea hili swala.
Hivi hawa wanania njema na self kweli ?

Hivi si kweli kwamba Amina na baadae mumewe walikufa kwa 'matatizo' yanayofanana?
 
leo nimesikia redioni (clouds)kipindi cha magazeti kuwa malimu self amekabidhiwa ofisi na kazi zake zitakuwa
1.kuhangaikia ukimwi,
2.walemavu
3.mazingira
4. Mihadarati

hii yanne nimeiona ni mtego kwa self. Maana hii kazi unadeal na watu hatari sana. Mtoto amina alijaribu kujitoa mhanga kushughulikia hili swala muda wake wa kuishi ukawa mfupi sana na hadi leo sijasikia mtu akijitolea kushughulikia au kuongelea hili swala.
Hivi hawa wanania njema na self kweli ?

5. Kuzindua majengo waliisahau
 
[QbbbbbbbbbbbbUOTE=Ndibalema;1295296]Kwani kilimuua nini mkuu?
"Shinikizo la damu"? au?[/QUOTE]
Kisukari pamaoja na sjinikizo la damu.
 
Duu ndio mambo ya Muafaka.
Wamemkabidhi kushughulikia wizara ambazo mchango wake hauwezi kuonekana ili 2015 asifurukute.
Poleni sana CUF kwa uroho
 
duu ndio mambo ya muafaka.
Wamemkabidhi kushughulikia wizara ambazo mchango wake hauwezi kuonekana ili 2015 asifurukute.
Poleni sana cuf kwa uroho

hao ndio sisiem!aanze kuongelea ukimwi weee, no tiba ahubiri matumizi ya ndom
huko zenji
 
I only hope that Maalim and his CUF are smart enough to avoid sliding into political irrelevance.
 
CCM very strategic wanatak kumpotezea Seif ili asingare kuelekea 2015
 
Back
Top Bottom