yakheeeeeeeeeeeee
hahahahaaayakheeeeeeeeeeeee
Hehe..kitu kinazutu iko acha kaɓisa, piga then shushia na bia zako mbili sAaaafi kabisa.Angalau muwe mnaandika na kilichopo ndani jamani.
Kwanza hongera kwa kuthubutu na kurejea hapa jamvini. Nenda Tandan ltd pale Kisemvule kajifunze kitu kizuri juu ya biashara hiyo.Cc : Malila
Ngoja nikuelekeze,Ndio wapi mkuu Malila naomba info zaidi nataka kujifunza kwa vitendo zaidi kabla sija step in kuwa mfugaji wa hawa .
Ngoja nikuelekeze,
Ukitoka Vikindu kama unaelekea Mkuranga, unapokaribia ile kona ya kufikia Kisemvule, mkono wako wa kushoto kuna taasisi ya kanisa Katoliki, hapo hapo kulia kwako kuna ukuta umejengwa kuzunguka makazi Fulani, hayo makazi ya hapo yana miti mingi, na kuna screpa za magari na kinjia kinaingia hapo ndani, kuna kibao kimeandika Tandan Ltd.
Huko ndani kuna jamaa anafuga nguruwe vizuri, kuna bucha la kisasa la kuchinjia nguruwe na sehemu kali ya kugongea kitimoto. Nilishaenda pale kujionea mambo. Nenda ukawaone kwa ajili ya soko la bidhaa zako na elimu.
Gharama ya kujifunza/kupata elimu hiyo ni kiasi gani? contact zao unazo mkuu?
Mheshimiwa..Mtaalamu.. kwema?Ngoja nikuelekeze,
Ukitoka Vikindu kama unaelekea Mkuranga, unapokaribia ile kona ya kufikia Kisemvule, mkono wako wa kushoto kuna taasisi ya kanisa Katoliki, hapo hapo kulia kwako kuna ukuta umejengwa kuzunguka makazi Fulani, hayo makazi ya hapo yana miti mingi, na kuna screpa za magari na kinjia kinaingia hapo ndani, kuna kibao kimeandika Tandan Ltd.
Huko ndani kuna jamaa anafuga nguruwe vizuri, kuna bucha la kisasa la kuchinjia nguruwe na sehemu kali ya kugongea kitimoto. Nilishaenda pale kujionea mambo. Nenda ukawaone kwa ajili ya soko la bidhaa zako na elimu.