Malia and Sasha Obama -Now and then!

Malia and Sasha Obama -Now and then!

ha ha ha ha wakiolewa watamlipa sana hapo!

  • quote_icon.png
    By kawoli
    obama kala hasara yaani mitoto ya kike tu






Hao tayari weshaingizwa kwenye ''system''
''Design'' ni watumishi/...nyikazi tayari katika Taifa lao.
 
291EE08200000578-3125377-Grown_up_girls_Both_Malia_left_and_Natasha_right_certainly_look_-a-36_1434488571261.jpg

  • SHARE PICTURE


+16



Both Malia (left) and Sasha (right) certainly look like sophisticated young ladies in on-trend skater dresses for a family portrait taken on Easter Sunday this year


Mpaka mbwa wako happy.
Aseee,bwasheeee umaonaeeee:becky:
 
Hivi rais akiwa madarakani haruhusiwi kuzaa?
 
Hasara wapi, kuna watoto wengine wa kiume hasara kuliko hao wakike, kutwa kuvuta bangi na unga, labda ukutwe wanavurugwa na wanaume wenzao. We unasema nini bana...
kudumisha jina la ukoo ndio kila kitu. watu wanahesabu viziz kadhaa mbele kwa kufuata uzao wa watoto wa kiume sio wa kike. ndio hasara ninayoisemea hapa.
 
obama kala hasara yaani mitoto ya kike tu

former basketballer magic johnson alibahatika kupata mtoto wa kiume,lakini matokeo yake yamekuwa kama mtoto huyo anavyoonekena katika picha hapo chini.haya mambo ya kunyanyapaa jinsia za watoto wa kike siyo mazuri.mda mwingine bora kuwa mpole tu na kuacha mungu atende miujiza yake ktk uzao wako.ni maoni tu mkuu.
ej-johnson-768.jpg
 
former basketballer magic johnson alibahatika kupata mtoto wa kiume,lakini matokeo yake yamekuwa kama mtoto huyo anavyoonekena katika picha hapo chini.haya mambo ya kunyanyapaa jinsia za watoto wa kike siyo mazuri.mda mwingine bora kuwa mpole tu na kuacha mungu atende miujiza yake ktk uzao wako.ni maoni tu mkuu.
ej-johnson-768.jpg

astakafulrahi hasara mara dufu
 
astakafulrahi hasara mara dufu
na huo ni mfano wa familia za watu wa maarufu wa magharibi ambako unyanyapaa kwa mashoga si mkubwa sana kama huku kwetu.

mfano mwingine ni familia moja pale mbezi beach,baba ni mtu mwenye uwezo mkubwa kifedha,jumba la kifahari,magari ya kutembelea nk,lakini mtoto wake pekee wa kiume ni shoga.mzee kachanganyikiwa sana,yule kijana kapelekwa kwa wachungaji wote maarufu unao wajua wewe ili aombewe aache mambo hayo lakini wapi.mimi ndio maana siwadharau watu wenye watoto wa kike.
 
Haki ya Mungu heri watoto wa kike wanajitambua kuliko hata wa kiume.
Hongera sana Obama.
 
kudumisha jina la ukoo ndio kila kitu. watu wanahesabu viziz kadhaa mbele kwa kufuata uzao wa watoto wa kiume sio wa kike. ndio hasara ninayoisemea hapa.

Hata angezaa mtoto wa kiume mwenye mawazo kama yako vilevile ni hasara tupu.
 
Wakenya bhanaaa...

Ikiacha yule wakili alosema anatoa kondoo 35 , kuna morani wa kimasai naye kasema anatoa ng'ombe 500 , sasa hawa jamaa sijui wanadhani zile ni Mali za kuuza...
 
kudumisha jina la ukoo ndio kila kitu. watu wanahesabu viziz kadhaa mbele kwa kufuata uzao wa watoto wa kiume sio wa kike. ndio hasara ninayoisemea hapa.

Mkuu Kawoli, inategemea na kabila na asili yako mkuu. mfano mzuri ni kabila la mtangaza nia mmoja! huku kanda ya ziwa kuna wamama wanaoa 'hili kudumisha' hicho unachokisemea. Fuatilia suala la la nyumba ntobho
 
Hivi hawa watoto wana ma boyfriend? just ask wajameni! wananitesa sana hasa huyo mdogo
 
jina ukoo ndio limeishia kwake, angepata walau wa kiume wa kuendeleza jina vinginevo litabaki kusomeka ktk vitabu tu

Kakudanganya nani? Familia tajili watoto wanachukuwa ubini wa kikeni kama ulikuwa hujui.
 
na huo ni mfano wa familia za watu wa maarufu wa magharibi ambako unyanyapaa kwa mashoga si mkubwa sana kama huku kwetu.

mfano mwingine ni familia moja pale mbezi beach,baba ni mtu mwenye uwezo mkubwa kifedha,jumba la kifahari,magari ya kutembelea nk,lakini mtoto wake pekee wa kiume ni shoga.mzee kachanganyikiwa sana,yule kijana kapelekwa kwa wachungaji wote maarufu unao wajua wewe ili aombewe aache mambo hayo lakini wapi.mimi ndio maana siwadharau watu wenye watoto wa kike.

Kuna jamaa ni billioner ana mtoto mmoja tu wa kike ni lesbian! jamaa akatangaza dau la milion mia mbili kwa mtu yeyote atakaye weza kumbadilisha huyo mtoto awe na hamu ya kuwa na hisia ya mapenzi na mwanaume na amshauri aache u lesbian achukue mpunga! haya mambo ni kumuomba mungu aepushe mbali!
 
Back
Top Bottom