Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Madini makubwa ya Ruby yanauzwa mnada wa Dubai hatari kweli Mali zetu zinakwenda kuuzwa nchi za nje utafikiri vile sisi hatuna Serikali ya kuweza kuthibiti madini yetu yasiibiwe na kuuzwa katika minada ya nchi za nje.
Aliwahi Kusema hayo Marehemu Rais Magufuli kuwa akiondoka yeye mambo ya ufisadi wa madini utarudi kama zamani na ndio tunona sasa mambo yamerudi kama zamani.
Mungu tuokoe na haya majangaa amin.
Aliwahi Kusema hayo Marehemu Rais Magufuli kuwa akiondoka yeye mambo ya ufisadi wa madini utarudi kama zamani na ndio tunona sasa mambo yamerudi kama zamani.
Mungu tuokoe na haya majangaa amin.