Richard Mlangi
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 380
- 193
Mali asili zetu zinatoweka kwa kasi sana. Weupe wanazihamisha kwa kutumia vibaraka wao waliopewa dhamana. Hivi sasa Tanzania hakuna mti unaoitwa Mninga wala Mkongo, imevunwa yote kwa kasi. Ukienda kwenye madini hivyohivyo! Na sasa kuna hili suala la meno ya tembo, tembo wetu wanaisha !!!!! This is what we call Neo - Colonialism.