Malezi ya watoto

Umemaliza kila kitu mkuu. Na mtoto anachohitaji zaidi ni wewe kuwa karibu naye. Ajue kuwa anapendwa, anajaliwa na kwamba yuko salama.

Ukimfanya kuwa rafiki yake na mkaaminiana basi kazi yako itakuwa rahisi sana kwa sababu atakuwa anakusikiliza, si kwa sababu ya hofu bali ile heshima, uaminifu pamoja na urafiki wenu.

Na ukiweza msogeze kwa Mungu. Sali naye. Nenda naye kanisani. Soma naye Neno na mruhusu ajihusishe na kuchangamana na marafiki zake wa huko kanisani; hasa wale wenye interests kama zake.

As a single father of a 13 yrs old girl, hii fomyula imenisaidia sana mpaka malezi yameonekana kuwa rahisi...
Hongera mkuu
 
Back
Top Bottom