Malezi ya watoto wa kishua

Malezi ya watoto wa kishua

Junior ni chenga sana[emoji1787]
Kanaweza kuja kuchezea mpira palepale sebuleni halafu kanakubamiza mashuti ya uso huku kanacheka, wakati mwingine kanakuuliza leo unakula kwetu au unaenda kula kwenu, kwanza kwenu mnakulaga pilau na nyama ya kuku
 
Ni matokeo ya malezi ambayo hata familia za kipato cha chini yapo Sasa hivi, hata paitwapo uswahilini pia, kidogo maeneo ya vijijini kabisaaa sijaliona sana hili.
 
Mara unakuta mgeni umekaa kwenye KOCHI MTOTO JUNIOR KAZUNGUKA NYUMA BIRA KUMUONA UNAKUTA KAKUFINYA GHAFLA AFU ANAKIMBIA ETI KUJIFICHA... INABIDI UKAE KIMYA TU MANA HUWEZI SEMA JUNIA KANIFINYA.

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
NA KAMA UMEZOEA KUWALEA WATOTO WAKO KATIKA MALEZI YA UTIIFU NA UTULIVU UKIKALIBISHWA KWENYE NYUMBA YENYE WATOTO AMBAO WANALELEWA KIMAYAI UTAGUNDUA TU MAPEMA HATA KABLA YA MZIKI KUANZA

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom