Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,145
Hua napatwa hasira na malezi ya watoto wa maboss ivi inakuwaje mtoto ataki kula chakula mpaka simu ndio ale chakula
Naona nitakuja kupasua mtoto wa mtu kichwa mtoto anajiliza mda wote bila sababu aki amua kulia mpaka mzazi kichwa kinawaka moto nitakuja kupiga vibaya nime amua niondoke tu kwa rafiki yangu mapema tu mtoto analia kama kengele
Naona nitakuja kupasua mtoto wa mtu kichwa mtoto anajiliza mda wote bila sababu aki amua kulia mpaka mzazi kichwa kinawaka moto nitakuja kupiga vibaya nime amua niondoke tu kwa rafiki yangu mapema tu mtoto analia kama kengele