Hatimaye Malecela ameibuka na kumkubali Magufuli na kuwananga wachache waliohama ccm kwa kuwaita wachafu wachache
Huyu Ndie alibadili dini kwa Nia ya Kuusaja Urais..Alipata Aibu yake toka kwa Kanbarage..
amechoka kwakweli ni vema kukaa kimya tu
Hatimaye Malecela ameibuka na kumkubali Magufuli na kuwananga wachache waliohama ccm kwa kuwaita wachafu wachache.
Source:Majira