moj6
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 3,366
- 4,970
Hahaaa kumbe hii kitu ni kweli basi sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabu zote za nini unakaa mpaka mbu wanakuuma.
Siku nyingine azima mpira(gari) weka mafuta mida ya weekend utembelee mitaa ya Tabata mida ya mchana.
Wakikuona unatembea ukiwa umekaa kisha unapata mziki taratibu utawaokota nakuhakikishia wengine utawakimbia.
Jioni unavuta simu wanakuja wenyewe.
Uchawi wa mzungu mwanamke haruki.
Sent using Jamii Forums mobile app