Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
Mkuu wewe ni jinsia gani?You can't be serious my dear
Mkuu wewe ni jinsia gani?You can't be serious my dear
na usikute pia hapo sio wote wahaya wamedanganya tu wamehamisha magori.Bora hata wangedanganya kabila hapo
😃😃😃Buguruni kwa hela hiyo ungechukua watatu
Kwa nini nisiwatetee majina ya masoua sijui bongezi sijui ahmada huwezi yakuta uhayan.Naona unawatetea wahaya wenzio
Kwanza majina yao yanaonekana kabisa sio wahaya.na usikute pia hapo sio wote wahaya wamedanganya tu wamehamisha magori.
we usiefanya hizi harakani ni bilionare ?Aiseee, hizo jitihada za kkutafuta malaya zingekuwa kwenye kufanya kazi ungekuwa billionaire mkuu
Kwahiyo Unadhani nini kimefanyika hapo ?Kwa nini nisiwatetee majina ya masoua sijui bongezi sijui ahmada huwezi yakuta uhayan.
Na wahaya waislamu ni wachache Sana
Ulishawahi ona muhaya anaitwa mwanaisha sijui mwantumu sijui Nadia?
HaaahaaaTabu zote za nini unakaa mpaka mbu wanakuuma.
Siku nyingine azima mpira(gari) weka mafuta mida ya weekend utembelee mitaa ya Tabata mida ya mchana.
Wakikuona unatembea ukiwa umekaa kisha unapata mziki taratibu utawaokota nakuhakikishia wengine utawakimbia.
Jioni unavuta simu wanakuja wenyewe.
Uchawi wa mzungu mwanamke haruki.
Malaika wa Bwana alikulinda dhidi ya kumkosea Mola wako kwa kigezo cha kushindwa kufika bei.Ijumaa niliamua nikaunguze wallet maeneo ya The great pale barakuda. Bahati mbaya siku hiyo sikua na kampani hivyo nikajipanga kupata mlimbwende mmoja ambaye nitamlisha, nitamnywesha na nitaenda kumpa utamu.
Baada ya kufika sehemu tajwa hapo juu, nikakutana na jamaa mmoja ambaye tulisoma o level pamoja. Hivyo nikawa nimepata kampani ya kula gambe maana walikua wapo kama watatu hivi wote wana.
Gambe lilipokolea si ndo nikaamua kujitafutia malaya mmoja nikafanye naye mambo japo kwa usiku mmoja.
Nilipomgusa wa kwanza bei aliyonitajia, nikadhani labda sio muuzaji. Nikaamua kuachana naye maana palikua na wavaa nusu uchi wengi.
Nikamfuata wa pili, bwana wee, bei ni zile zile. Yaani kuanzia saa nane mpaka saa kumi mtu anakuambia umpe 70000. Nikaamua nimfuate wa tatu, bei ni ile ile.
Nikaona nihame bar. Nikaenda 40 40. Kugusa bado bei ni ile ile. Hapo ni saa tisa bado nahangaika na malaya.
Nilipoona bei imenishinda, nikaamua kusepa kwenda kulala na 30000 niliyokua nimepanga kumpa malaya nikaamka na supu na chenji ikabaki ya kutosha.
Hakika tabata balaaaaaa kwa bei za malaya
Aiseee, hizo jitihada za kkutafuta malaya zingekuwa kwenye kufanya kazi ungekuwa billionaire mkuu
duu huyo hata bure silii uchafu
daa hela yote hiyoooHiyo 70000 ungeongezea kulipa ada ya mtoto kwani umalaya haulipi , utaambulia tu HIV
Sent using Jamii Forums mobile app
duuu haoo wanaliwa na wala unga aiseeHii sasa ni attack kwa kabila fulani
ila wahaya ni watani zangu ndio jadi yao ha haHuenda walw ni more experienced na ni watalaam zaidi