Malawi vows to continue oil-gas exploration, dismissing demand by Tanzania which claims half

nyerere alimwambia kamuzu banda alipie kila wimbi linalopiga huku tanzania kama anataka kulazimisha mpaka uwe hapo...kamuzu hakujibu kitu badala yake akaweka meli ziwe zinalinda doria mle ziwani....nyerere alichomfanyia banda hata kisahau juu ya meli hizo..tangia hapo kukawa na ukimya na mpaka ukabaki kuwa katikati ya hilo ziwa...sasa naona chokochoko zimeanza tena...
 
nyerere alimwambia kamuzu banda alipie kila wimbi linalopiga huku tanzania kama anataka kulazimisha mpaka uwe hapo...kamuzu hakujibu kitu badala yake akaweka meli ziwe zinalinda doria mle ziwani....nyerere alichomfanyia banda hata kisahau juu ya meli hizo..tangia hapo kukawa na ukimya na mpaka ukabaki kuwa katikati ya hilo ziwa...sasa naona chokochoko zimeanza tena...

Bro malizia tu kua zilipinduliwa na muda huo tuko safi sana kivita.
 
tz-map.gif

https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html

Hapo naona kama ipo shida,
 
Huu ni upepo tu, utapita.
haupiti ngo!

Kuna thread moja niliiona hapa jana, hawa jamaa hawawezi kuja na madai haya bila kuwa na base. Kikubwa wamesoma alama za nyakati juu ya utajiri uliopo TZ kwa sasa na aina ya uongozi tulionao.

Ngoja tusubiri

 
Vigezo vya mipaka ilikuwa ni nini??tungependa kujua!!

Berlin conference 1885 wakoloni waligawana Africa bila hata kutushauri(Bure kabisa hawa). Vigezo vya mipaka masilahi ya wakubwa. Ureno walipewa Malawi ila Uingereza ilipora Malawi kibabe mwaka 1890.
 
Felix Mponda, AFP
July 31, 2012

Malawi vowed on Tuesday to press on with oil and gas exploration on Lake Malawi, dismissing a demand by Tanzania, which claims half of the lake, to halt prospecting.

“We categorically put it to them [Tanzania] that as far as we are concerned, the entire lake belongs to Malawi,” Patrick Kabambe, principal secretary in the ministry of foreign affairs, said in a statement.

“So our view is that there is no reason to stop the project,” he added.

Tanzania has claimed that 50% of the lake which forms its border with Malawi is part of its territory.

Tanzanian Foreign Minister Benard Membe last week told domestic media that “exploration activities in the northeast part of the lake should be shelved to pave way for the ongoing discussions to resolve the crisis”.

Malawi, a former British colony, and Tanzania, once ruled by Germany, are due to hold talks on the disputed border in the northern Malawian town of Mzuzu on 20 August.

Kabambe cited an 1890 agreement between the former colonial powers that stipulates the border between the two countries as lying along the Tanzanian shore of the waters of Lake Malawi.

“Our terms are very clear on this, but we will continue to engage with Tanzania as a good neighbour,” Kabambe said.

Mozambique also owns part of the lake.

In September last year, the government of Malawi’s late president Bingu wa Mutharika awarded a British firm, Surestream Petroleum, a licence to prospect for oil and gas on the giant lake.

The company has been conducting an environmental impact assessment.

The 29 600 square kilometre lake is Africa’s third-largest freshwater lake. In Tanzania, the lake is called Lake Nyasa, which is taken from Malawi’s colonial name.


via NyasaTimes.com



 
Suala la mipaka ya majini someni [FONT=TimesNewRoman,Bold][FONT=TimesNewRoman,Bold]United Nations Convention on the Law of the Sea[/FONT][/FONT][FONT=TimesNewRoman,Bold][FONT=TimesNewRoman,Bold][/FONT][/FONT]
 
Mpaka ni katikati ya ziwa,
huo ni ugomvi ambao Waingereza waliacha,
Ili siku ikifika tuwaite watuamue.

kule India ni mipaka ya Kasmir,
Nayo ina ugomvi ulioachwa na Waingereza.
 
Suala la mipaka ya majini someni [FONT=TimesNewRoman,Bold][FONT=TimesNewRoman,Bold]United Nations Convention on the Law of the Sea[/FONT][/FONT][FONT=TimesNewRoman,Bold][FONT=TimesNewRoman,Bold][/FONT][/FONT]

Refers to Baharia kuu siyo Maziwa.
 
wamalawi wamejileta wenyewe, tushapata sababu ya kutumia silaha zetutulizofungia toka miaka ya 80 vita ya kagera ilipoisha zile mbwe mbwe za miaka hamsini ya uhuru tukaionyeshe huko... la sivyo silaha zetu zita expire..!!
 
Kiburi cha Malawi kinatoka hapo kwenye red. Waingereza ni wahuni sana, wako upande wa Tanzania at the same time wanawapa kiburi Malawi especially kipindi hiki ambacho Malawi wana matatizo ya fedha watanfaya chochote ili mradi mdomo uelekee kinywani.

Kuna jambo moja inabidi serikali iwe makini sana, ukanda wa kusini una makampuni ya ulinzi toka nje ya nchi na wana silaha kubwa! Hichi kitu kiliongelewa bungeni lakini hakuna majibu ya maana. Uingereza wana tabia ya kutumia 'meceenaries', kwa nje inaonekana serikali haihusiki lakini ukweli hao hao mecenaries wanakuwa na link na serikali.

kuna yale majambazi ya kikaburu aka Execetive Outcomes yenyewe yanapigana kwenye issue kama hizi (penye mali asili na ugomvi wa mali asili).

Lakini tatizo kubwa la Tanzania ni kutojiona umuhimu wake kwa majirani zake kwa kutumia nafasi yetu kijiografia kutawala hivi vinchi jirani...fikiria hawa wamalawi wangekua wanategemea kuagiza na kuuza vitu vyao kupitia bandari ya Mtwara kwa reli toka Mbamba Bay wangefanya huu ujinga? ingekua suicide kwao, lakini kwa sasa hawahitaji chochote toka kwetu wer not their strategic partners, hata wakiwa na njaa zao za kila mwaka Tanzania inashindwa kuwapa chakula watatuheshimu vipi sasa....hata ukiwa mkubwa heshima haija hivi hivi, inafika wakati ukubwa wako au umri hausaidii chochote

strategic politics ni kitu haya majitu yanaitwa viongozi yameshindwa kabisa..angalia Museveni anachukua Bandari ya Tanga ili akianza kuuza mafuta asipate shida na Kenya (ambao na wenyewe wamegundua mafuta) vile vile baada ya mgogoro mdogo wa visiwa vya Migingo kati ya Uganda na kenya na vurugu za uchaguzi wa kenya 2008 Mu7 ameona Tanga ndiyo solution ya tatizo hili. hii ni strategic politics and leadership.

Bila kuzifanya nchi nyingiee zitutegemee hatuwezi kua na maana katika eneo hili..tutaendelea kua useless tu, yaani kubwa jinga, eti sleeping giant, sleeping giant gani halitaki kuamka? Rwanda, Burundi, Uganda, Zambia, Malawi hawa wote wangekua na heshima kama wangetumia Tanzania kama cheapest entry na exit ya bidhaa zao. na yeyote kati yao vikiwamo vimalawi visingejaribu kukiuka sheria za kimataifa kwa sauti na nguvu namna hii.

we r just useless..
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hivi jeshi la Tanzania linafanya nini? Hata kulinda mipaka ya nchi linashindwa, . Wewe kikwete ulipewa kura uende ikulu kufanya nini! Hata Kuwa amiri jeshi Mkuu unashindwa,!!, ka inchi Kama Malawi kanakushinda! Mwalimu alimfundisha idd amini adabu alipochezea mipaka yetu, hata kamuzu Banda anamhara Hata katika kifo,

yaani ufisadi wote fanyeni Hadi ikulu lakini Lindeni nchiyetu !!!!!! Nyerere naamini anageuka kaburini kwa hasira,

Hebu Lindeni mipaka yetu,ala!
 
I respect Nyerere and Mkapa, pamoja na matatizo yao! They were leaders. Kwa sasa tuna mtu anayeishi Ikulu. Hatuna Rais.
 
Mpaka ni katikati ya ziwa,
huo ni ugomvi ambao Waingereza waliacha,
Ili siku ikifika tuwaite watuamue.

kule India ni mipaka ya Kasmir,
Nayo ina ugomvi ulioachwa na Waingereza.

Jambo la kushangaza ni kuwa kabla ya uhuru, 1961, shuleni wanafunzi wakichora ramani ambayo mpaka ulikuwa unapita ndani ya ziwa kama ilivyokuwa kwa ziwa Tanganyika na Victoria aka Nyanza. Baada ya uhuru tumetulia hadi leo bila kushughulikia suala hili kwani wa Malawi walianza kuonyesha kuwa ziwa ni lao baada ya mwingereza kuondoka. Hivi leo kitu kitakacholeta uhasama ni mali hiyo ya mafuta na gas.

Ikiwa Malawi itafanikiwa katika ulafi huu itakuwa ngumu sana kwa maisha ya wa Tanzania - unatoka Kyela kwenda Mbinga kupitia Mbamba bay uchukue pasi toka Malawi!! Imagine Bahari ya Hindi ingekuwa mali ya India tungeyakodolea macho maji ya chumvi - unataka kwenda Tanga kwa mashua uende New Delhi upate Pasi ya kusafiria kwenda Tanga.

Wazungu wana hila - wanaiona Tanzania na Malawi zikichapana wakati wao wakivuna maliasili kwa ulaini. Umoja wa Afirka uhusishwe katika hatua za ki diplomasia suala hili lisifike huko linakotaka kuelekea.
 
Back
Top Bottom