Malawi vows to continue oil-gas exploration, dismissing demand by Tanzania which claims half

Kiburi cha Malawi kinatoka hapo kwenye red. Waingereza ni wabuni sana, wako upande wa Tanzania at the same time wanawapa kiburi Malawi especially kipindi hiki ambacho Malawi wana matatizo ya fedha watanfaya chochote ili mradi mdomo uelekee kinywani. Kuna jambo moja inabidi serikali iwe makini sana, ukanda wa kusini una makampuni ya ulinzi toka nje ya nchi na wana silaha kubwa! Hichi kitu kiliongelewa bungeni lakini hakuna majibu ya maana. Uingereza wana tabia ya kutumia 'meceenaries', kwa nje inaonekana serikali haihusiki lakini ukweli hao hao mecenaries wanakuwa na link na serikali.

Waingereza na binadamu mahili sana wa kuhuma na kupuliza, watu tunasahau kwamba IRAQ ilikuwa ni nchi moja wakati ya utawala wa Uingereza kabla hawajaondoka IRAQ; Waingereza walihakikisha wanamega kipande cha aridhi ya IRAQ na kukipachika jina la KUWAIT - nia yao hasa hasa walikuwa hawataki nchi ya IRAQ imiliki vitalu zingi vya mafuta, naona mbinu hizi ndizo wanataka kuzitumia nchini Malawi baada ya kuona kuna uwekano mkubwa wa ziwa Nyasa kuwa na mafuta. Malawi haiwezi kuwa na ubavu wa kuitisha Tanzania kwa njia yoyote ile bila ya kuwa na watu wanao wapa jeuri for a reason.

Kuhusu matumizi za mercenaries wakijidai ni walizi wa kawaida, hilo wala alishangazi, Waingereza utumia sana kikosi cha SAS kufanikisha AZMA zao za kimaslahi yanayo husu nchi yao, wana mbinu nyingi.

Nakumbuka nilipo kuwa nasoma shule ya msingi, ramani ya Tanzania tulikuwa tuna chora kwa kuonyesha mpaka wa ziwa Nyasa ulikuwa unapita katikati ya ZIWA, hata ramani zilizo chorwa na Harper Collins wa Uingereza zilionyesha hivyo hivyo - sasa tatizo linaibuka kutoka WAPI tena!
 
Malawi haiwezi kuwa na ubavu wa kuitisha Tanzania kwa njia yoyote ile bila ya kuwa na watu wanao wapa jeuri for a reason.

Nakumbuka nilipo kuwa nasoma shule ya msingi, ramani ya Tanzania tulikuwa tuna chora kwa kuonyesha mpaka wa ziwa Nyasa ulikuwa unapita katikati ya ZIWA, hata ramani zilizo chorwa na Harper Collins wa Uingereza zilionyesha hivyo hivyo - sasa tatizo linaibuka kutoka WAPI tena!

Ningependa kuona bunge linajadili hili jambo kwa kina kabisa. Wasipuuze hata kidogo. Malawi wanawalamba miguu waingereza kwa sasa hivyo watafanya (Malawi) kila wanachoambiwa na wafadhili wao -waingereza.

Kuhusu ramani, Tanzania tuna mini-scandal kwenye hili. Karibu ramani zote zilizo kwenye public domain zinaonesha kuwa Ziwa Nyasa liko Malawi (lote). Jaribuni kuangalia hata google, publications za serikali -hata calendar mtaona ramani ya Tanzania ilivyokosewa. Websites karibu zote zinatangaza utalii wa Tanzania zinaonesha mipala wrong!
 
Yaani inashangaza sana jinsi viongozi wa kiafrika wanavyoheshimu maamuzi ya wakoloni ya karne ya 19 zaidi ya uwezo wao wa akili wa kufanya maamuzi sahihi karne ya 21!

Hawa Malawi kama wanadhani watatoka kwa mradi wa mafuta basi wajiandae kuishi kama wakimbizi kwa sababu chokochoko yao itatulazimisha kuwachapa.
Of course watasupport yale yanayowanuifaisha kumbuka Misri walisema watachapa yeyote atakayeingilia Victoria!
Swali ni kwamba hivi sasa tumegawanywa mno na CC Mabwepande kiasi kwamba hatuna nguvu na umoja wa kumchapa yeyote.
 
Hawa Waingereza wanaweza kutusababishia vita wanachojali wao ni pesa tu wameishaanza kuwapa pesa Wamalawi watashindwa kuwapa silaha.
Tusiwalaumu Waingereza. Tulaumu uongozi dhaifu nchini mwetu. Kuwa kiongozi si kuchekacheka tu.
 
Kipindi hiki ilitakiwa tuwe na kiongozi thabiti, migomo madaktari, walimu, mgogoro wa muungano, mfumuko wa bei, sasa mgogoro wa mpaka umepamba moto. Je ni kweli kuwa tumefika hapa kutokana na Udhaifu wa Rais, uzembe wa bunge na upuuzi wa ccm?
Unauliza jibu?
 
huyu kikwete si alikua mwanajeshi.??sasa mbona hana maamuzi ya kijeshi.?? Ndio maana Zitto alisema anauwezo wa kuwa amiri jeshi mkuu, maana aligundua tatizo ni uamiri jeshi mkuu.

Alipoingia Jeshini alikimbilia kwenye SIASA Jeshini enzi hizo unakumbuka kulikuwa na Mkoa wa Jeshi; hapo basi ni kula na

Kulala wengi walikuwa na Vitambi na kupangiwa kazi kama Makatibu Mikoa; au Ukiwa Mkali kisiasa Wakuu wa Mikoa

Ukijitokeza vizuri ndio hapo Unadunda Unaibu Uwaziri walikuwa wengi tu... kwahiyo sijui kama bunduki aliigongo sana

zaidi ya MONDULI wakati wa Mfunzo ya Mwanzo Uluteni..
.

* Tairi likipasuka atakimbia kama mimi na wewe na kuuliza nini hicho!!!
 
Then Rwanda and Burundi should be returned to ''Tanganyika'' is this agreement holds any water.......and Egypt should have rights over Lake Victoria ( Nyanza)

Ndio Maana tunawaambia Berlin Conference ilikufa baada ya 1st world War lakini pia Ndugu zetu wa Zanzibar leaning

Omani Kingdom wanataka Mwambao wa Tanganyika... Mkataba Mjerumani aliweka ambao Ulivunjika Mwingereza alipoichu

kua Tanganyika Under UN Protectorate hata Mfalme wa Zanzibar alikubali hakuna Mwambao kwenye Mkataba
 

Alipoingia Jeshini alikimbilia kwenye SIASA Jeshini enzi hizo unakumbuka kulikuwa na Mkoa wa Jeshi; hapo basi ni kula na

Kulala wengi walikuwa na Vitambi na kupangiwa kazi kama Makatibu Mikoa; au Ukiwa Mkali kisiasa Wakuu wa Mikoa

Ukijitokeza vizuri ndio hapo Unadunda Unaibu Uwaziri walikuwa wengi tu... kwahiyo sijui kama bunduki aliigongo sana

zaidi ya MONDULI wakati wa Mfunzo ya Mwanzo Uluteni..
.

* Tairi likipasuka atakimbia kama mimi na wewe na kuuliza nini hicho!!!

wapo wengi hawa,lakini ukikutana nao mtaani mikwara yao simchezo wanavyojidai walikua makomando jeshini!
 
Imenikumbusha miaka ya nyuma rais Banda wa Malawi wakati huo alileta choko choko mpakani wakati huo tulikuwa na viongozi full of patriotism. Alipigwa mkwara wa kijeshi ndani ya juma moja akasalimu amri. Ndiyo chanzo cha zile nyimbo tulikuwa tunaimba kwenye mchaka mchaka shuleni:

KIONGOZI
:
"Wamalawi watuvalia,
Watuvalia ngozi ya simba,
Kututishia watanznia, hatujali, hatujali!"

TUNAITIKIA:
"Bandaaaa wa Malawi,
Atuvalia ngozi ya simba,
Kututishia watanzania,
Hatujali, hatujali!"



Those old good days!

Nyetk: Umenikumbusha mbali saaaana, na mimi niliimba sana hizi nyimbo nilipokuwa JKT miaka hiyo! Mgogoro mkubwa wa mpaka ni sheria za kimataifa za mipaka ya maeneo ya maji ya Bahari na Ziwa,Malawi wao wanaendelea kuheshimu mipaka ya mwaka 1890s,wanashindwa kukumbuka kuwa hao waingereza walibadili mipika baada ya kukabidhiwa makoloni ya Mjerumani aliyeshindwa vita kuu ya kwanza ya dunia,hivi ni sahihi kwa Tanganyika ya sasa kudai eneo la nchi za Rwanda na Burundi! hata hivyo shria hiyo ilikuja kubadilishwa tena na tena na kuridhiwa na mataifa yote wanachama wa umoja wa mataifa ikiwamo Malawi.kuliko kulazimisha kuendelea na utafiti wao naona ni bora wangeanzia UNO ili kupata uhalali vinginevyo hatua yao tuihesabu kama uchokozi kama ule wakati wa Nyerere alipotaka kuwachapa kijeshi kutokana kichwa ngumu yao.
 
Mkuu Impaler JWTZ wakati wa Mwl lilikuwa na nidhamu ya hali ya juu sana TISS ndiyo usiseme majasusi walikuwa wamepikwa wakaiva si kama leo wanakimbilia kung'oa meno na kucha bila ganzi.Jasusi bora ni yule anaeweza kusambaratisha vyama vya upinzani !.

Wamuulize Iddi Amini nini kilimpata alipochokoza Tanzania....
 
Last edited by a moderator:
Naona JF wengine hawajui. Kwa taarifa yenu, tatizo la mipaka ni la siku nyingi. Sio kwamba limekuja kwa sababu ya kuchimba mafuta. Tanzania tunasema mpaka ni katikati ya ziwa, wakati Malawi inasema kufuatana na Berlin Conference 1890, mpaka ni ukingoni mwa ziwa upande wa TZ.
 
Kwa hili ndo serikali ilitakiwa itoe tamko liwalo na liwe. Hawa ni kuwachapa tu. Haina maana kukaa kimya wakati wanaendelea kujiimarisha mpakani. JWTZ wanatakiwa waweke base katika ziwa nyasa.
 
Ningependa kuona bunge linajadili hili jambo kwa kina kabisa. Wasipuuze hata kidogo. Malawi wanawalamba miguu waingereza kwa sasa hivyo watafanya (Malawi) kila wanachoambiwa na wafadhili wao -waingereza.

Kuhusu ramani, Tanzania tuna mini-scandal kwenye hili. Karibu ramani zote zilizo kwenye public domain zinaonesha kuwa Ziwa Nyasa liko Malawi (lote). Jaribuni kuangalia hata google, publications za serikali -hata calendar mtaona ramani ya Tanzania ilivyokosewa. Websites karibu zote zinatangaza utalii wa Tanzania zinaonesha mipala wrong!

malawi.jpg


malawi_map.jpg


lake_malawi.jpg



 
Oneni matusi waliyotutukana kwenye mitandao yao... haya ni baadhi tu ingia hapa tuwajibu ipasavyo....Tanzania asks Malawi to halt oil exploration | Malawi news, Malawi - NyasaTimes breaking online news source from Malawi


I cry for my Malawi. Whatever we try to do, our fellow neighbors seem not to help.Nsanje port was faced with hatred by our fellow Mozambican in the name of formality, now its this oil issue. Anyway, Malawians we must understand that we have a lot of work to develop ourselves. Lets handle such matters as polite as possible because kapolo sakwiya
·

Tanzania, you have the backing of us ordinary Malawians. We, too, are against it coz that jeorpadises our fresh Chambo, Mcheni, Batala, Mpasa and Usipa. As plebeans, we benefit more from the fish than we would from the oil being dreamt about. Only the elite would benefit from the oil; we are already experiencing this from the Kayelekera Uranium mining.
Reply
·

My question to the Tanzanian officials is, if you have got all that natural gas at your disposal why are you then interested in the gas and oil reserves in Lake Malawi or Nyasa as you call it?
Is it not such African countries and leaders claiming that the west slows down economic growth of such developing countries like Malawi? So why would a country like Tanzania insist on such as issue as Malawi contributes to your country;s growths as it is through your ports.
Africa will always be poor because of this kind of mentality. You should let Malawians decide if it is wise to explore the gas and oil in the Lake. Mozambique already claims a chunk of the lake and you too? Both you countries have coasts let Malawi be a sovereign state and leave what belongs to Malawi in Malawi waters.
And this drilling if anything should be off shore drilling preserve the Lake its a major source of food.
Reply
·
5 Joe Daud Says: July 31st, 2012 at 2:32 am

Some things you just don't understand….what do the Tanzanians want from our lake I thought they have access to the Indian ocean and have natural gas reserves why are they cunning to our lake. already mozambique has 1/3 of the lake
Reply
·
6 Loto Mafuleka Says: July 31st, 2012 at 2:45 am

kodi akufunanso chani maSwahiliwa? kapena asilikali athu agwileko ntchitotu apa. we can after all manage to extend Malawi to the Indian Ocean, its possible
Reply
·
7 Ndirande Love Says: July 31st, 2012 at 2:55 am

Joyce is incompetent in many fronts, she has failed the country a big time. Such a disappointment she has been, we all understand that but when it comes to this issue we are all Malawians. whether people agree with the oil thing or not TZ has no place claiming anything of that body of water. Comments like people were making during Bungu's reign supporting Zambia, Uk and others talk trash about Malawi are not welcome. The lake belongs to Malawi and the debate whether to drill or not is Malawi's. TZ should go to hell and fast!
Like 1
Reply
 
The reality is Tanzania can not afford to go to war. The donors that finance your budget up to 40% will not allow you to.
 
Badala ya kufuatilia masuala ya usuluhishi pekee, ni vema tukadhibiti kabisa mpaka wetu kwa kuweka kikosi cha wanamaji kupatrol kwenye eneo la mpaka. Vinginevyo tukiwaacha waendelee kudhibiti ziwa lote na sisi kukimbilia kwenye usuluhishi tutadisplay weakness ya hali ya juu. Na wengine watazoea na kudhani Tz ukiamua unaweza kuclaim eneo na kuchukua kirahisi tu bila bughudha yoyote.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom