Malawi vows to continue oil-gas exploration, dismissing demand by Tanzania which claims half

Burundi_Block_B_and_D_Farm-in_b9gaPF.jpg
 
Tatizo hayo mafuta uwezo wa kuyatafuta hatunao. Ni wazungu ndio wanaotafutaga alafu tunasema ni sisi ndio tumegundua, duh! Yaani hii ni baada ya miaka takriban hamsini ya "uhuru".
 
Military expenditure of Tanzania
Year
Value
1988
14.1​
1989
16.1​
1990
17.9​
1991
29.5​
1992
28.2​
1993
19.4​
1994
40.1​
1995
58.2​
1996
59​
1997
86.2​
1998
92.3​
1999
99.1​
2000
117​
2001
147​
2002
125​
2003
135​
2004
143​
2005
172​
2006
197​
2007
217​
2008
247​
2009
332​
2010
373​
2011
430​
Year
Value
1988
100​
1989
171​
1990
142​
1991
154​
1992
153​
1993
101​
1994
94.2​
1995
122​
1996
120​
1997
128​
1998
140​
1999
139​
2000
148​
2001
172​
2002
169​
2003
153​
2004
156​
2005
168​
2006
184​
2007
193​
2008
196​
2009
218​
2010
250​
2011
253​
Year
Value
1988
1.4​
1989
2.4​
1990
2​
1991
2.2​
1992
2.1​
1993
1.4​
1994
1.3​
1995
1.6​
1996
1.6​
1997
1.5​
1998
1.6​
1999
1.5​
2000
1.5​
2001
1.6​
2002
1.4​
2003
1.2​
2004
1.1​
2005
1.1​
2006
1.1​
2007
1.1​
2008
1.1​
2009
1.2​
2010
1.2​



Military expenditure of Malawi
Year
Value
1988
53.1​
1989
66.1​
1990
66.4​
1991
66.5​
1992
99.1​
1993
118​
1994
159​
1995
172​
1996
354​
1997
461​
1998
446​
1999
698​
2000
698​
2001
988​
2002
1,186​
2003
1,309​
2004
2,752​
2005
4,452​
2006
[5,525]​
2007
[5,923]​
2008
..
2009
..
2010
..
2011
..

In local currency ( m. kwacha )
Start of financial year: April
Year
Value
1988
20.6​
1989
22.3​
1990
21​
1991
18.7​
1992
20.7​
1993
21​
1994
20.5​
1995
12.7​
1996
16.8​
1997
21.7​
1998
17.3​
1999
16.9​
2000
14.3​
2001
15.3​
2002
16.6​
2003
17​
2004
28.6​
2005
41.7​
2006
[47.7]​
2007
[49]​
2008
..
2009
..
2010
..
2011
..

In constant ( 2010 ) US$ m.
Year
Value
1988
1.5​
1989
1.5​
1990
1.3​
1991
1.1​
1992
1.4​
1993
1.3​
1994
1.4​
1995
0.8​
1996
0.9​
1997
1​
1998
0.8​
1999
0.8​
2000
0.7​
2001
0.7​
2002
0.6​
2003
0.5​
2004
0.8​
2005
1.2​
2006
[1.2]​
2007
[1.1]​
2008
..
2009
..
2010
..

As percentage of gross domestic product
 
Tanzania itoe kibali cha uchimbaji kwa Makampuni ya China au Russia na kisha ianze kujiandaa kivita haraka,maana Joyce Banda anatumiwa na nchi za magharibi na Israel kuleta chokochoko za uvamizi tz.
 
Tunajua Wanasema kuwa KYELA ni ya kwao wanakwenda sana KYELA hadi VIONGOZI wao wa PROVINCE iliyo karibu na

KYELA; Sasa Watafanya VITA hawana hata CHAKULA cha kuwalisha Wananchi wao? Hii CHOKOCHOKO ni kuwa

Wametekenywa na Nchi za Magharibi jinsi wanavyooisema Tanzania na Msumbiji kwahiyo attension wanaona haiko kwao

na wao wanafanya AUSTERITY MEASURES just to please the WESTERN nations to get GRANTS and LOANS to feed their

NATION... Sasa ni kuchokochoko kipenzi cha Westerners Tanzania sasa utasikia oh; OK MALAWI TAKE THAT and THAT

and BE QUIT; Huyo Dada alikuwa eti aende Lagos kuhutubia wake wa 1st Ladies akasema hana Usafiri Unajua aliuza

Ndege ya RAIS; Sasa RAIS wa NIGERIA amemtumia NDEGE; ??? Hauoni ajabu she's the President not a 1st Lady...

KWAHIYO ANATAFUTA UMAARUFU kama kaka yake Marehemu Mbingu wa Mutharika...

* LAKINI YASINGE FIKA HAPA KAMA RAIS WETU ASINGE KUWA MKIMYA HIVI; NI KAMA HATUNA RAIS VILE

KITU UNAJUA TANZANIA KUNA RAIS ni KILE KINDEGE KINA RUKA HUKU NA KULE; NO VOICE AT ALL...

Rais, Serikali na intelijensia yote wamejikita zaidi ktk kuidhibiti CHADEMA kuliko kuangalia masuala mazito kitaifa na kimataifa kama hili la Malawi vs Tanzania
 
Niamini nikisema JWTZ liko makini kuliko!!! TISS ni swali lengine, ila JWTZ bado wako super... si mnacheki tulivyoweka sawa comoro? Vijana wetu hawakuchukua hata miezi... operation ndogoo... tumeondoka nchi iko shwari!!!
 
Malawi is peaceful. Black tanzanians are also peaceful. But arabs in tanzania are bringing confusion. shame
 
Tanzania itoe kibali cha uchimbaji kwa Makampuni ya China au Russia na kisha ianze kujiandaa kivita haraka,maana Joyce Banda anatumiwa na nchi za magharibi na Israel kuleta chokochoko za uvamizi tz.
sasa israel imeingilia wapi hapa jamani....israel imefanya nini kwa malawi kama unazo evidence?...kweli huku misikitini mnalishwa takataka!
 
malawi wanatumiwa na wamagharibi,nia yao ni sisi tuanze chokochoko baina yetu alafu kama mafuta yatagundulika na tayari sisi tuna gesi basi watatuchonganisha tutapigana lakini kwenye vita ya karne 21,athari zake zitakuwa kubwa sana na pia aitokuwa na mshindi zaidi ya sisi sote kuathirika kiuchumi na madeni kedekede.Gesi yote tuliyogundua huko kusini mapato yake yatakuwa kama nonge la barafu kwenye jua dhidi ya matumaini ya uboresho wa maisha ya watanzania.Ona nchi zote za africa zilizogundua mafuta na gasi,tangia 1963 OAU inaanzishwa hadi leo ni aibu kwa africa,silaha atutenganezi sisi tuna bidhaa sasa wao wanatuuzia ,wanatukopesha 80% inalipia madeni.
silaha ni ghali sana,naogopa tusiwe kama Angola-27 civil war,sudan,nigeria,congo.Mungu epusha ili balaa,sisi watanzania Rais wetu ni mzalendo sana sina ofu naye,tatizo ni huyu mama wa malawi ni kibaraka 100% wa inchi za magharibi,ona baada tu ya kukabithiwa inchi karuhusu ushoga,katofautiana na nchi za umoja wa africa AU ili tu kupata misaada kutoka magharibi.
Mungu ibariki tanzania Dumisha umoja wetu
 
Back
Top Bottom