Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Year Value | 1988 14.1 | 1989 16.1 | 1990 17.9 | 1991 29.5 | 1992 28.2 | 1993 19.4 | 1994 40.1 | 1995 58.2 | 1996 59 | 1997 86.2 | 1998 92.3 | 1999 99.1 | 2000 117 | 2001 147 | 2002 125 | 2003 135 | 2004 143 | 2005 172 | 2006 197 | 2007 217 | 2008 247 | 2009 332 | 2010 373 | 2011 430 |
Year Value | 1988 100 | 1989 171 | 1990 142 | 1991 154 | 1992 153 | 1993 101 | 1994 94.2 | 1995 122 | 1996 120 | 1997 128 | 1998 140 | 1999 139 | 2000 148 | 2001 172 | 2002 169 | 2003 153 | 2004 156 | 2005 168 | 2006 184 | 2007 193 | 2008 196 | 2009 218 | 2010 250 | 2011 253 |
Year Value | 1988 1.4 | 1989 2.4 | 1990 2 | 1991 2.2 | 1992 2.1 | 1993 1.4 | 1994 1.3 | 1995 1.6 | 1996 1.6 | 1997 1.5 | 1998 1.6 | 1999 1.5 | 2000 1.5 | 2001 1.6 | 2002 1.4 | 2003 1.2 | 2004 1.1 | 2005 1.1 | 2006 1.1 | 2007 1.1 | 2008 1.1 | 2009 1.2 | 2010 1.2 |
Year Value | 1988 53.1 | 1989 66.1 | 1990 66.4 | 1991 66.5 | 1992 99.1 | 1993 118 | 1994 159 | 1995 172 | 1996 354 | 1997 461 | 1998 446 | 1999 698 | 2000 698 | 2001 988 | 2002 1,186 | 2003 1,309 | 2004 2,752 | 2005 4,452 | 2006 [5,525] | 2007 [5,923] | 2008 .. | 2009 .. | 2010 .. | 2011 .. |
Year Value | 1988 20.6 | 1989 22.3 | 1990 21 | 1991 18.7 | 1992 20.7 | 1993 21 | 1994 20.5 | 1995 12.7 | 1996 16.8 | 1997 21.7 | 1998 17.3 | 1999 16.9 | 2000 14.3 | 2001 15.3 | 2002 16.6 | 2003 17 | 2004 28.6 | 2005 41.7 | 2006 [47.7] | 2007 [49] | 2008 .. | 2009 .. | 2010 .. | 2011 .. |
Year Value | 1988 1.5 | 1989 1.5 | 1990 1.3 | 1991 1.1 | 1992 1.4 | 1993 1.3 | 1994 1.4 | 1995 0.8 | 1996 0.9 | 1997 1 | 1998 0.8 | 1999 0.8 | 2000 0.7 | 2001 0.7 | 2002 0.6 | 2003 0.5 | 2004 0.8 | 2005 1.2 | 2006 [1.2] | 2007 [1.1] | 2008 .. | 2009 .. | 2010 .. |
Tunajua Wanasema kuwa KYELA ni ya kwao wanakwenda sana KYELA hadi VIONGOZI wao wa PROVINCE iliyo karibu na
KYELA; Sasa Watafanya VITA hawana hata CHAKULA cha kuwalisha Wananchi wao? Hii CHOKOCHOKO ni kuwa
Wametekenywa na Nchi za Magharibi jinsi wanavyooisema Tanzania na Msumbiji kwahiyo attension wanaona haiko kwao
na wao wanafanya AUSTERITY MEASURES just to please the WESTERN nations to get GRANTS and LOANS to feed their
NATION... Sasa ni kuchokochoko kipenzi cha Westerners Tanzania sasa utasikia oh; OK MALAWI TAKE THAT and THAT
and BE QUIT; Huyo Dada alikuwa eti aende Lagos kuhutubia wake wa 1st Ladies akasema hana Usafiri Unajua aliuza
Ndege ya RAIS; Sasa RAIS wa NIGERIA amemtumia NDEGE; ??? Hauoni ajabu she's the President not a 1st Lady...
KWAHIYO ANATAFUTA UMAARUFU kama kaka yake Marehemu Mbingu wa Mutharika...
* LAKINI YASINGE FIKA HAPA KAMA RAIS WETU ASINGE KUWA MKIMYA HIVI; NI KAMA HATUNA RAIS VILE
KITU UNAJUA TANZANIA KUNA RAIS ni KILE KINDEGE KINA RUKA HUKU NA KULE; NO VOICE AT ALL...
sasa israel imeingilia wapi hapa jamani....israel imefanya nini kwa malawi kama unazo evidence?...kweli huku misikitini mnalishwa takataka!Tanzania itoe kibali cha uchimbaji kwa Makampuni ya China au Russia na kisha ianze kujiandaa kivita haraka,maana Joyce Banda anatumiwa na nchi za magharibi na Israel kuleta chokochoko za uvamizi tz.