Malawi vows to continue oil-gas exploration, dismissing demand by Tanzania which claims half

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
06e2b535aaa24f1e8825cc409149ae6a.jpg



Blantyre
- Malawi vowed on Tuesday to press on with oil and gas exploration on Lake Malawi, dismissing a demand by Tanzania, which claims half of the lake, to halt prospecting.

"We categorically put it to them [Tanzania] that as far as we are concerned, the entire lake belongs to Malawi," Patrick Kabambe, principal secretary in the ministry of foreign affairs, said in a statement.

"So our view is that there is no reason to stop the project," he added.

Tanzania has claimed that 50% of the lake which forms its border with Malawi is part of its territory.

Tanzanian Foreign Minister Benard Membe last week told domestic media that "exploration activities in the northeast part of the lake should be shelved to pave way for the ongoing discussions to resolve the crisis".

Malawi, a former British colony, and Tanzania, once ruled by Germany, are due to hold talks on the disputed border in the northern Malawian town of Mzuzu on 20 August.

Kabambe cited an 1890 agreement between the former colonial powers that stipulates the border between the two countries as lying along the Tanzanian shore of the waters of Lake Malawi.

"Our terms are very clear on this, but we will continue to engage with Tanzania as a good neighbour," Kabambe said.

Mozambique also owns part of the lake.

In September last year, the government of Malawi's late president Bingu wa Mutharika awarded a British firm, Surestream Petroleum, a licence to prospect for oil and gas on the giant lake.

The company has been conducting an environmental impact assessment.

The 29 600 square kilometre lake is Africa's third-largest freshwater lake. In Tanzania, the lake is called Lake Nyasa, which is taken from Malawi's colonial name.


- AFP

More about the topic....
Nimekuwa nafuatialia suala la ugomvi wa mpaka baina ya Malawi na Tanzania kwa muda mrefu. Tukiweka mbali tofauti zetu za kisiasa na kimtazamo but when it comes to mipaka ya nchi nadhani na naamini sote ni watanzania na tuko tayari kulinda mipaka ya nchi yetu kwa lolote. Wamalawi hawakuanza leo wala jana kutaka kumega sehemu ya tanzania. Ikumbukwe historia hapo kale Kamuzu Banda alishawahi kutofautiana na Mwalimu Nyerere kuhusu mipaka na Mwalimu alimjibu ikiwa basi Ziwa Nyasa lenu kila wimbi linalogusa Tanzania itabidi mlipie.

Sasa hivi Wamalawi wameona kuna uwezekano wa kuwepo mafuta Lake Nyasa. Na hivyo wanataka kumiliki ziwa lote kwa madai ya kuwa ati lao . Wanachosahau hawa Wamalawi ni kuwa mfano wakichimba hayo mafuta vitu vifuatavyo watavilipaje kwa watanzania wanaopakana na ziwa Nyasa:-

a. Athari za kimazingira wananchi wa Tanzania nani atakayewalipa?

b. International law inasema ikiwa ziwa au mto unakatiza katikati ya mpaka wa nchi. Nchi jirani zinagawana maji kwa asilimia 50 kwa kutumia imaginary line. Wao wametoa wapi msingi wa kudai mpaka wa nchi yao ni Lake Nyasa?

c. Vile vile tukirudia mipaka ya wakoloni je Tanzania ikidai Rwanda na Burundi zake itakuwaje?

Kwa ufupi wanachokifanya wamalawi kimewaudhi watanzania wengi na it is AN ACT OF WAR!!!! . Tunachokuomba mheshimiwa rais jipange kwani wamalawi wana Rais mkorofi. Na wamalawi hawana tofauti na wakenya kwa jinsi navyowafahamu kitabia. Wengi wao ni wabinafsi sana. Sasa kama tamaa ya mafuta ndio inayopelekea kutafuta ugomvi na sie basi ni vema wapate taarifa sisi ni Sleeping Giant. Siafu ni wadudu wadogo sana ambao mwanadaamu huweza kumkanyaga moja akamuua. Ila siafu wanaumoja na wakiungana huweza kumuua hata Tembo. Watanzania ni watu wenye umoja na uzalendo thanks to baba wa Taifa aliyejenga umoja huo. Tofauti zetu za kisiasa hazisababishi watu wakafikiri tunaterereka kiumoja. Mheshimiwa Rais nakushauri ufanye yafutayo:-

a. Endelea na mazungumzo nao hadi mfike International court kuona haki iko wapi.

b. Vile vile kwa vile mnatumia International Law na mnaona mna haki basi na nyie fanye utaratibu wa kutoa vibali vya kuchimba na kutafuta mafuta Lake Nyasa.

c. Bajeti ijayo ongeza fungu la manunuzi ya vifaa vya kivita hasa ndege za kivita na vifaru pamoja na amunition. Tumia hela itayoanza kupatikana kutoka kwa kampuni za mafuta na gesi kuongeza nguvu ya kijeshi.

d. Anzisheni doria kutumia jeshi la wanamaji kama inavyofanyika bahari ya hindi.

e. Kuwa na msimamo mkali dhidi ya wamalawi utajijengea heshima kubwa sana kwa watanzania.


Sina la zaidi! Nilikuwapo!
 
Here we go 1890 Agreement - Berlin Conference... They don't have any problem with Mozambique part of it is too little

but for our side; Oh there is OIL and GAS... they need it all, they will be rich... SHAME SHAME SHAME greedy Africans...
 
Here we go 1890 Agreement - Berlin Conference... They don't have any problem with Mozambique part of it is too little

but for our side; Oh there is OIL and GAS... they need it all, they will be rich... SHAME SHAME SHAME greedy Africans...
Ina maana hiyo gas/oil ipo upande wa ziwa ambao ni wa Tanzania??? au wanataka ukorofi tu?
 
2012-07-31 16:55

In September last year, the government of Malawi's late president Bingu wa Mutharika awarded
a British firm, Surestream Petroleum, a licence to prospect for oil and gas on the giant lake.

- AFP

Kiburi cha Malawi kinatoka hapo kwenye red. Waingereza ni wahuni sana, wako upande wa Tanzania at the same time wanawapa kiburi Malawi especially kipindi hiki ambacho Malawi wana matatizo ya fedha watanfaya chochote ili mradi mdomo uelekee kinywani.

Kuna jambo moja inabidi serikali iwe makini sana, ukanda wa kusini una makampuni ya ulinzi toka nje ya nchi na wana silaha kubwa! Hichi kitu kiliongelewa bungeni lakini hakuna majibu ya maana. Uingereza wana tabia ya kutumia 'meceenaries', kwa nje inaonekana serikali haihusiki lakini ukweli hao hao mecenaries wanakuwa na link na serikali.
 
Kiburi cha Malawi kinatoka hapo kwenye red. Waingereza ni wabuni sana, wako upande wa Tanzania at the same time wanawapa kiburi Malawi especially kipindi hiki ambacho Malawi wana matatizo ya fedha watanfaya chochote ili mradi mdomo uelekee kinywani.

Kuna jambo moja inabidi serikali iwe makini sana, ukanda wa kusini una makampuni ya ulinzi toka nje ya nchi na wana silaha kubwa! Hichi kitu kiliongelewa bungeni lakini hakuna majibu ya maana. Uingereza wana tabia ya kutumia 'meceenaries', kwa nje inaonekana serikali haihusiki lakini ukweli hao hao mecenaries wanakuwa na link na serikali.

2012-07-17 14:42
Britain boosts Malawi aid to £54m


Umeona hapo wamewapa hizo; halafu naona hiyo kampuni ikipata GAS au OIL labda Malawi itachukua asilimia 2 tu
 
Here we go 1890 Agreement - Berlin Conference... They don't have any problem with Mozambique part of it is too little

but for our side; Oh there is OIL and GAS... they need it all, they will be rich... SHAME SHAME SHAME greedy Africans...

Kwa jinsi tulivyokuwa WALAFI mkoloni wala hatukumbushi hiyo reference point (mipaka ya 1890) tunaikumbuka wenyewe tunapoanza kugombania ulaji........Bahati mbaya na rasilimali tunazogombea (mafuta na gesi) wala havijatunufaisha; na inawezekana tusijenufaika navyo kutokana na staili yetu ya kuwaachia wawekezaji wajitwalie tuu vyote nasisi kubaki na makombo.
 
JK is very weak.... PIGA HAWA MALAWI FASTER TUMEWAACHIA MUDA WANAZIDI KUCLAIM ZIWA LOTE LAO SISI TUNANYAMAZA, ni kuwapiga it seems diplomatic talks failed & here we have to be CLEAR NO NEGOTIATIONS, mipaka ni katikati ya ziwa kama INTERNATIONAL WATER LAWS explain clearly boundary of States in water bodies ( half-way) period....
 
Hawa wajamaa wanatafuta matatizo. Hawajui kwamba JW wanaweza kupachafua vibaya?
 
Air defence ya wamalawi inasimamiwa na wayahudi na mwaka huu january wamefunga military radar km kama 2 hv jirani na boda ya kalonga na walipitisha ndege za kivita maeneo ya Lituhi hadi Manda mwezi wa 2 tu hapo, wachunguzi wa mambo wanadai Malawi wamekuwa wanajiandaa kufanya vita na Tanzania kwa miaka zaidi ya 20 kwa kufanya yafuatayo

1. Wamemodernize jeshi lao hasa la anga kwa kuingia ubia na israel
2. Wamenunua tokea marekani boti za kivita 14 ambazo zinafanya patrol ziwa nyasa 24/7!
3. Wamefunga vituo vipya vya radar

Jamaa wanadai endapo Malawi watasonga kwa miguu basi entry position yao itakuwa mbeya hasa eneo la wilaya ya Ileje kutokana na hali ya milima ambayo inawapa unafuu wao.

Pia Malawi wameanza kudai kwa nguvu hilo ziwa sasa kukujua kuwa Tanzania inatatizo la viongozi wa ngazi za juu na pili Tz inataabika na matatizo yake ya ndani kama migomo, uchumi na miundombinu na siasa na mwisho ni migongano ya viongozi wakuu jeshini, polisi, tiss na serikalini

My Take:
Tanzania ya leo sio ya kuombea vita coz askari wetu, tiss na polis wapo kwa miaka mingi kuzuia vyama vya upinzani, kupiga wazenji, ma-dr na kupiga kwata pale taifa wamejisahau kufanya mambo yao ya msingi kwa muda mrefu msishangae jk akakimbilia uarabuni akatuacha wanyasa watunyoshe kama anakimbia migomo sembuse vita!

Ngoja nikamtoe bibi yangu Tukuyu
 
Kwa jinsi tulivyokuwa WALAFI mkoloni wala hatukumbushi hiyo reference point (mipaka ya 1890) tunaikumbuka wenyewe tunapoanza kugombania ulaji........Bahati mbaya na rasilimali tunazogombea (mafuta na gesi) wala havijatunufaisha; na inawezekana tusijenufaika navyo kutokana na staili yetu ya kuwaachia wawekezaji wajitwalie tuu vyote nasisi kubaki na makombo.

Havitatunufaisha tutapigana vita tuuane... Mzungu atakuja aweke Jeshi lake Sababu ana Mkataba na Malawi achimbe

Hiyo GESI na OIL taratibu na asimlipe yoyote kama Congo-Kinsasha; Vita Vimefanya kuwe na kama Vitaifa vidogo vidogo

Vinaovyomilikiwa na Mineral Owners na Majeshi yao na Viwanja vyao Vidogo Vya Ndege kubeba hizo Mali direct out of the

country nasikia madini ya kutengeneza rangi; na pia ya simu - cellphone yanapatikana Congo-Kinsasha tu... Lakini

Masikini Kaka yetu Kabila hajui; Amebanwa Kinsasha
 
Yaani inashangaza sana jinsi viongozi wa kiafrika wanavyoheshimu maamuzi ya wakoloni ya karne ya 19 zaidi ya uwezo wao wa akili wa kufanya maamuzi sahihi karne ya 21!

Hawa Malawi kama wanadhani watatoka kwa mradi wa mafuta basi wajiandae kuishi kama wakimbizi kwa sababu chokochoko yao itatulazimisha kuwachapa.
 
Na sisi Tanzania tuanze utafiti wa mafuta Ziwa Nyasa, as simple as that!
 
Imenikumbusha miaka ya nyuma rais Banda wa Malawi wakati huo alileta choko choko mpakani wakati huo tulikuwa na viongozi full of patriotism. Alipigwa mkwara wa kijeshi ndani ya juma moja akasalimu amri. Ndiyo chanzo cha zile nyimbo tulikuwa tunaimba kwenye mchaka mchaka shuleni:

KIONGOZI
:
"Wamalawi watuvalia,
Watuvalia ngozi ya simba,
Kututishia watanznia, hatujali, hatujali!"

TUNAITIKIA:
"Bandaaaa wa Malawi,
Atuvalia ngozi ya simba,
Kututishia watanzania,
Hatujali, hatujali!"



Those old good days!
 
Air defence ya wamalawi inasimamiwa na wayahudi na mwaka huu january wamefunga military radar km kama 2 hv jirani na boda ya kalonga na walipitisha ndege za kivita maeneo ya Lituhi hadi Manda mwezi wa 2 tu hapo, wachunguzi wa mambo wanadai Malawi wamekuwa wanajiandaa kufanya vita na Tanzania kwa miaka zaidi ya 20 kwa kufanya yafuatayo

1. Wamemodernize jeshi lao hasa la anga kwa kuingia ubia na israel
2. Wamenunua tokea marekani boti za kivita 14 ambazo zinafanya patrol ziwa nyasa 24/7!
3. Wamefunga vituo vipya vya radar

Jamaa wanadai endapo Malawi watasonga kwa miguu basi entry position yao itakuwa mbeya hasa eneo la wilaya ya Ileje kutokana na hali ya milima ambayo inawapa unafuu wao.

Pia Malawi wameanza kudai kwa nguvu hilo ziwa sasa kukujua kuwa Tanzania inatatizo la viongozi wa ngazi za juu na pili Tz inataabika na matatizo yake ya ndani kama migomo, uchumi na miundombinu na siasa na mwisho ni migongano ya viongozi wakuu jeshini, polisi, tiss na serikalini

My Take:
Tanzania ya leo sio ya kuombea vita coz askari wetu, tiss na polis wapo kwa miaka mingi kuzuia vyama vya upinzani, kupiga wazenji, ma-dr na kupiga kwata pale taifa wamejisahau kufanya mambo yao ya msingi kwa muda mrefu msishangae jk akakimbilia uarabuni akatuacha wanyasa watunyoshe kama anakimbia migomo sembuse vita!

Ngoja nikamtoe bibi yangu Tukuyu
Tunajua Wanasema kuwa KYELA ni ya kwao wanakwenda sana KYELA hadi VIONGOZI wao wa PROVINCE iliyo karibu na

KYELA; Sasa Watafanya VITA hawana hata CHAKULA cha kuwalisha Wananchi wao? Hii CHOKOCHOKO ni kuwa

Wametekenywa na Nchi za Magharibi jinsi wanavyooisema Tanzania na Msumbiji kwahiyo attension wanaona haiko kwao

na wao wanafanya AUSTERITY MEASURES just to please the WESTERN nations to get GRANTS and LOANS to feed their

NATION... Sasa ni kuchokochoko kipenzi cha Westerners Tanzania sasa utasikia oh; OK MALAWI TAKE THAT and THAT

and BE QUIT; Huyo Dada alikuwa eti aende Lagos kuhutubia wake wa 1st Ladies akasema hana Usafiri Unajua aliuza

Ndege ya RAIS; Sasa RAIS wa NIGERIA amemtumia NDEGE; ??? Hauoni ajabu she's the President not a 1st Lady...

KWAHIYO ANATAFUTA UMAARUFU kama kaka yake Marehemu Mbingu wa Mutharika...

* LAKINI YASINGE FIKA HAPA KAMA RAIS WETU ASINGE KUWA MKIMYA HIVI; NI KAMA HATUNA RAIS VILE

KITU UNAJUA TANZANIA KUNA RAIS ni KILE KINDEGE KINA RUKA HUKU NA KULE; NO VOICE AT ALL...
 
Liwalo na Liwe, wacha tuimalishe Tanesco kwanza tutakuja zungumzia hili, tupo kwenye kutafuta suluhu mgomo wa walimu,kuna hili la katiba mpya, madaktari, Kubenea nae anasumbua...
 
Back
Top Bottom